Kufungwa afungwe Mbeya City kununa anune 'Mnyama'

Anajiita Brigedia mafia. Kuna mkoa mmoja Tanzania ukisema mafia ni makende au korodani au mbu pu.
 
Sawa ila ngoja nikuchane kidogo

Umejishushia heshima kutamka neno"utajiju" hilo ni neno la kike ndo maana nikashangaa dume zima unatumiaje neno hilo?
Unatudhalilisha badilika .
Huyu kweli Brigedia, wapo wengi humu mkuu itabidi udeal nao mmoja mmoja
 
Brigedia mafia mbona kimya? mpe na wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…