Waafrika cie ni shidaWewe askari wa cheo cha juu sana tumia akili ya kijeshi kupata majibu magumu.
Kwahiyo ukiongea mbele Za watu watakushangaaAnajiita Brigedia mafia. Kuna mkoa mmoja Tanzania ukisema mafia ni makende au korodani au mbu pu.
Sanaaa! Nimesoma mkoa huo.Kwahiyo ukiongea mbele Za watu watakushangaa
Huyu kweli Brigedia, wapo wengi humu mkuu itabidi udeal nao mmoja mmojaSawa ila ngoja nikuchane kidogo
Umejishushia heshima kutamka neno"utajiju" hilo ni neno la kike ndo maana nikashangaa dume zima unatumiaje neno hilo?
Unatudhalilisha badilika .
One step aheadHuyu kweli Brigedia, wapo wengi humu mkuu itabidi udeal nao mmoja mmoja
Jibu swali nililokuuliza