Kwani man u na barc wamekutana mara ngapi na matokeo yakoje... Anaejua atujuze, japo mpira wa sasa hivi hautegemei maajabu ya historia
Huu wote ni wivu. Pole vijana wa arsenal, ila kombe linakuja traford baba
ineasta atakuwepo wewe
hilo ni dhihirisho wewe ni mmoja wa wale wenye maumivu.... Kwa mtazamo wangu man ya msimu ulio pita ilikuwa ni nzuri kuliko ya msimu huu, na barc ya msimu uliopita ilikuwa ni nzuri ilamsimu huu imekuwa bora zaidi, sasa je? endapo wakikutana man u wakohoa? tuache ushabiki embu tuutazame ukweli ulipo
Hah! hah! hah! wenyewe wanajua ukweli ndio maana wamechukia Real kufungwa!
Sasa wewe unaishi kusadikika, hata West ham ingekuwa kama unavyosadiki ingeifunga Barca.
Hakuna timu inayoweza kuizuia Barca wasichukue kombe. Narudia tena, Hakuna!
Umeanza kuangalia mpira lini wewe?Hakuna timu inayoweza kuizuia Barca wasichukue kombe. Narudia tena, Hakuna!
Hatujachukia RM kufungwa, tumechukia michezo michafu wanayofanya, kutafutia watu kadi nyekundu, maana kwa mtindo huu Vids, Scholes n Rafael possible red cards zinawasubiri...!!
Hivi zile Red Card na Penalty zinazotolewa pale Old Trafford hasa mwishoni mwa misimu huwa ni Michezo michafu mkuu??Hatujachukia RM kufungwa, tumechukia michezo michafu wanayofanya, kutafutia watu kadi nyekundu, maana kwa mtindo huu Vids, Scholes n Rafael possible red cards zinawasubiri...!!
kama na mechi ya jusi barc walichakachua nahisi ndugu yangu ww si mshabiki wa soka ila ni mfuata mkumbo; kombe la mfalme barc walifungwa na real hawakubwata nashangaa ckuona mshabiki au kiongozi yeyote yule wa barc akim2humu m2. ila kwa hili la real kufungwa mashabiki mmelivyalia njuga kama nn. inakuwaje real wakutwe na makosa matano ilihali barc wakutwe na kosa moja 2. au mnataka barc iwe inafungwa na real kila wanapokutana. 2jifunze kushabikia mpira co kufuata mkumbo. mpira unasheria zake ni lazima zifuatwe co maneno.barca cjui wananini,me nashangaa,mechi ya arsenal walichakachua,ya real madrid wamechakachua,unakumbuka mwaka jana na chelsea, pia walichakachua,ni timu ya UEFA hiyo hawana lolotee!