hapakazit
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 839
- 663
Habari wana jamvi to decrare interest mimi ni mshabiki wa simba lilia na matokeo ya jana yameniuma sana na kama mnavyojua Kufungwa inauma sana.
Ila kwa upande mwingne bora tumefungwa huyu mtu anaitwa haji manara ajifunze anaiona simba kama tim ya malaika kutoka mbinguni fc isiyofungwa anatukana na kudharirisha watu anatisha na kutukana waandishi hasa wanawake kitendo alichofanya wiki iliyopita sio cha ki ungwana bahati mbaya hakuna aliejitokeza kumuonya anajivunia ulemavu wake manara amekuwa mjinga siku hiz bora tumefungwa ajifunze tumepoteza mchezo inauma sana ila acha tujifunze kuwa na akiba ya maneno na nidham tunapoongea na watu wengne na hiii ni laana itatufuna.
Na natamani huu ujumbe umfikie Manara anadharirisha club yetu ya wastaarabu kwa sababu ya ulemavu wake watu wanamuogopa kumsema kwa kuwa yeye ni mlemavu wa ngozi.
Huwezi kumdharirisha mwanamke ukabaki salama. Acha lizame na ubingwa tukose iwe fundisho kwake ngoma ikuvuma sana mwisho hupasuka acha ipasuke.
Ila kwa upande mwingne bora tumefungwa huyu mtu anaitwa haji manara ajifunze anaiona simba kama tim ya malaika kutoka mbinguni fc isiyofungwa anatukana na kudharirisha watu anatisha na kutukana waandishi hasa wanawake kitendo alichofanya wiki iliyopita sio cha ki ungwana bahati mbaya hakuna aliejitokeza kumuonya anajivunia ulemavu wake manara amekuwa mjinga siku hiz bora tumefungwa ajifunze tumepoteza mchezo inauma sana ila acha tujifunze kuwa na akiba ya maneno na nidham tunapoongea na watu wengne na hiii ni laana itatufuna.
Na natamani huu ujumbe umfikie Manara anadharirisha club yetu ya wastaarabu kwa sababu ya ulemavu wake watu wanamuogopa kumsema kwa kuwa yeye ni mlemavu wa ngozi.
Huwezi kumdharirisha mwanamke ukabaki salama. Acha lizame na ubingwa tukose iwe fundisho kwake ngoma ikuvuma sana mwisho hupasuka acha ipasuke.