kufungwa kwa kukataa kuhesabiwa

Makene

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
1,475
Reaction score
282
Je ni sheria gani inayotoa mamlaka kwa mahakama kutoa adhabu ya kifungo kwa mtu aliyekataa kuhesabiwa sensa kama mkuu mmoja wa wilaya alivyosema kwa kuonya raia kutosusia zoezi la kuhesabu watu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…