GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Green Warriors! Ipo daraja la ngapi?GENTAMYCINE ebwana una namba ya mchezaji yeyote wa Yanga nahitaji mafuta ya alizeti..
Green Warriors! Ipo daraja la ngapi?
kupigwa bao ni kupigwa bao tuu... hakuna mwenye uafadhari
aribu ku-google hii kitu halafu uje ...Couple DiscordantMme akifa kwa Ukimwi basi Mkewe hamalizi mwaka mmoja nae anafariki...
Kuna mpira upo hewani mpaka sasa.
Shemeji acha umbwiga basi. Singida ina Waganda,.yupo mjanja Barthez nk. Wamakonde wachonga mbao na vigogo. Vinyago.Acha ' Uboya ' Wewe kuna tofauti kubwa sana kati ya kufungwa na Watoto wa Mjini Green Warriors na ' Walugaluga / Washamba / Mambwiga ' wa Singida ambao ni Wafugaji na Wakamua maziwa na alizeti Singida United.
Kocha mzungu.Ila kupigwa Bao na ' Washamba ' wa Singida inauma sana. Yaani Mfugaji na Mkamua maziwa na alizeti anakufunga kweli?
Shemeji acha umbwiga basi. Singida ina Waganda,.yupo mjanja Barthez nk. Wamakonde wachonga mbao na vigogo. Vinyago.
Watoboa ndonya wala panya. Nchale!
Acha!
Umesahau wakurya na wazanaki walivyopata wanawake Singida? Shemeji acha!Mkoani Singida kuna Wajanja? Kuna Mnyiramba na Mnyaturu Mjanja? Hata mzuge vipi Yanga SC mmetia aibu kufungwa na Mambwiga / Washamba wa Singida United. Mtoto wa mjini utafungwaje na Mlugaluga? Mmetutia sana aibu Sisi Watoto wa mjini ' Original ' Simba SC.
Umesahau wakurya na wazanaki walivyopata wanawake Singida? Shemeji acha!
Umesahau wakurya na wazanaki walivyopata wanawake Singida? Shemeji acha!
aisee bora walima alizeti wa singida kuliko hao wachonga vinyago.Tusichoshane sana Sikukuu hii rejea tu Kichwa cha Habari hapo juu kisha tiririka na serereka zako.
Akhsanteni wana Singida sasa tutaheshimiana mjini hapa.
Nawasilisha.