Mmeoa? Hiyo mikunyenge ni yenu. Wewe umerithi uzanakini au unyarwandani?Koma Wewe hao Wanawake zenu wa Kinyiramba na Kinyaturu kutokea Mkoani Singida wenyewe ndiyo ' wanatushobokea ' Sisi Watu wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) kwa madai ya kwamba tunajua mno ' Kunyagia ' mafuta kunako ' Mbunye ' zao halafu tumebarikiwa kunakotukuka na ' Mikuyenge ' ya maana.
Mmeoa? Hiyo mikunyenge ni yenu. Wewe umerithi uzanakini au unyarwandani?
Ulienda jando la kizanaki( ukisha balehe) au la kinyarwanda( hospitalini)?
Kuna mpira upo hewani mpaka sasa.
Jamii ya Simba!
Nimecheka mpaka basi maaaana hii stori ilishawahi kutokea live kwenye maongezi ya wadada fulan nikabaki kushangaa tu.Koma Wewe hao Wanawake zenu wa Kinyiramba na Kinyaturu kutokea Mkoani Singida wenyewe ndiyo ' wanatushobokea ' Sisi Watu wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) kwa madai ya kwamba tunajua mno ' Kunyagia ' mafuta kunako ' Mbunye ' zao halafu tumebarikiwa kunakotukuka na ' Mikuyenge ' ya maana.
uliachwa na msichana wa kinyaturu, tena uliachwa kwa harau sana, utakufa nalo hilo mbwiga weweMkoani Singida kuna Wajanja? Kuna Mnyiramba na Mnyaturu Mjanja? Hata mzuge vipi Yanga SC mmetia aibu kufungwa na Mambwiga / Washamba wa Singida United. Mtoto wa mjini utafungwaje na Mlugaluga? Mmetutia sana aibu Sisi Watoto wa mjini ' Original ' Simba SC.
Umesahau jina lingine ni mabairmaidAcha ' Uboya ' Wewe kuna tofauti kubwa sana kati ya kufungwa na Watoto wa Mjini Green Warriors na ' Walugaluga / Washamba / Mambwiga ' wa Singida ambao ni Wafugaji na Wakamua maziwa na alizeti Singida United.