Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
MSAMAHA UMETURUDISHIA POINT??????????????????MBWA YULE MACHO MLEGEZOLakini amewafunga na kuwaomba msamaha shida iko wapi mkuu
Shida amewafunga..kuomba msamaha hakufuti hilo goli.Lakini amewafunga na kuwaomba msamaha shida iko wapi mkuu
π€£π€£Huyu dogo sisi ndo tumemlea kabisa na kumpatia hata nguvu za kucheza mpira. Amekuja kwetu muda wote ana rembua tu macho. Tumemsaidia angalau kuyakaza, sasa anaaanza jiona naye ni mtu???????????????????? Bernard Morrison atakutana naye siku moja.
πLakini amewafunga na kuwaomba msamaha shida iko wapi mkuu
kumbe aliomba msamaha? basi muungwana sana, sikuangalia wala kusikiliza, sikutaka maumivu ya moyo laivu.Lakini amewafunga na kuwaomba msamaha shida iko wapi mkuu
Ulijua utafungwa mkuu?kumbe aliomba msamaha? basi muungwana sana, sikuangalia wala kusikiliza, sikutaka maumivu ya moyo laivu.
kumbe aliomba msamaha? basi muungwana sana, sikuangalia wala kusikiliza, sikutaka maumivu ya moyo laivu.
tukubali kuwa huo ndio mpiraHuyu dogo sisi ndo tumemlea kabisa na kumpatia hata nguvu za kucheza mpira. Amekuja kwetu muda wote ana rembua tu macho. Tumemsaidia angalau kuyakaza, sasa anaaanza jiona naye ni mtu???????????????????? Bernard Morrison atakutana naye siku moja.
nilijua kabisa mkuu, hata jamaa zangu niliwaambia, siangalii wala kusikiliza maana tunafungwa.Ulijua utafungwa mkuu?