Kufurushwa aliyekuja Katibu Mkuu EAC imekuaje?

Kufurushwa aliyekuja Katibu Mkuu EAC imekuaje?

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,358
Reaction score
10,976
Dr Mathuki toka Kenya amefurushwa EAC kabla ya kipindi chake cha uongozi kukamilika. Sasa EAC Ina Katibu Mkuu mpya Bi Veronica. Nini haswa sababu ya kufurushwa Dr Peter Mathuki (PhD)?

NB: Aliyekuja=Aliyekua
 
Dr Mathuki toka Kenya amefurushwa EAC kabla ya kipindi chake cha uongozi kukamilika. Sasa EAC Ina Katibu Mkuu mpya Bi Veronica. Nini haswa sababu ya kufurushwa Dr Peter Mathuki (PhD)?

NB: Aliyekuja=Aliyekua
Alikutwa na changamoto za kimaadili kama vile matumizi abaya ya fedha za jumuia na pia kujipatia manufaa binafsi kwa kigezo cha madaraka yake ( mambo ya kudai penzi kwa lazima).
 
Kuna fungu la pesa lilitolewa na wahisani kwa ajili ya kufanya mambo fulani huko South Sudan.
Jamaa kama walivyo mafisadi wengine kwenye eneo lenye madaraka na mamlaka aka-mute! pesa ikapotea na mpango mzima ukaendelea kuwa kwenye...Loading!
Wabunge wa SS wakachoma utambi bomu likalipuka.
Isivyokuwa bahati, Ruto akamnyakua Mathuki mpera mpera hadi Russia kupisha uchunguzi ambao kimsingi haukuhitajika zaidi ya hukumu....Wezi wana ushirikiano je? 😡
 
Kuna fungu la pesa lilitolewa na wahisani kwa ajili ya kufanya mambo fulani huko South Sudan.
Jamaa kama walivyo mafisadi wengine kwenye eneo lenye madaraka na mamlaka aka-mute! pesa ikapotea na mpango mzima ukaendelea kuwa kwenye...Loading!
Wabunge wa SS wakachoma utambi bomu likalipuka.
Isivyokuwa bahati, Ruto akamnyakua Mathuki mpera mpera hadi Russia kupisha uchunguzi ambao kimsingi haukuhitajika zaidi ya hukumu....Wezi wana ushirikiano je? 😡
Askofu Zakayo na hela aisee
 
Dr Mathuki toka Kenya amefurushwa EAC kabla ya kipindi chake cha uongozi kukamilika. Sasa EAC Ina Katibu Mkuu mpya Bi Veronica. Nini haswa sababu ya kufurushwa Dr Peter Mathuki (PhD)?
Sababu haijasemwa rasmi ila ni minongono minongono ya kwenye corridor tuu kuwa katika pita pita yake, kuna mahali alikanyaga, sio!.

Ila jamaa alikuwa mtu poa sana
View: https://youtu.be/s1PXU3IQWGo?si=7Agi8MZLxlu2dIQB
P
 
Back
Top Bottom