Naomba msaada kujua kama mtu (Mdai) au mwakilishi wake kisheria anaweza pata nafasi ya kusimama na kumwambia jaji Mahakama kuu kuwa anataka kuiondoa yake ya madai , siku ya mention.
Kwani inaonyesha wakili wake ana maslahi na kesi hiyo, kwahiyo anataka kesi hiyo iendelea, kwahiyo hana nia ya kuiondoa mahakamani ijapokua amemuandikia barua afanye hivyo.
Kwani inaonyesha wakili wake ana maslahi na kesi hiyo, kwahiyo anataka kesi hiyo iendelea, kwahiyo hana nia ya kuiondoa mahakamani ijapokua amemuandikia barua afanye hivyo.