Kufuta kesi ya madai Mahakama Kuu

Kufuta kesi ya madai Mahakama Kuu

Faridi

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2008
Posts
672
Reaction score
274
Naomba msaada kujua kama mtu (Mdai) au mwakilishi wake kisheria anaweza pata nafasi ya kusimama na kumwambia jaji Mahakama kuu kuwa anataka kuiondoa yake ya madai , siku ya mention.

Kwani inaonyesha wakili wake ana maslahi na kesi hiyo, kwahiyo anataka kesi hiyo iendelea, kwahiyo hana nia ya kuiondoa mahakamani ijapokua amemuandikia barua afanye hivyo.
 
nenda kwa msajiri wa hiyo mahakama atakupa utaratibuzuri sana bila malipo yoyote
 
Back
Top Bottom