Kufuta mauaji ya albino, ni kutokomeza kabisa Waganga wapiga ramli

Kufuta mauaji ya albino, ni kutokomeza kabisa Waganga wapiga ramli

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!!

Awamu ya Tatu, Ben Mkapa aliwateketeza wachuna ngozi bila huruma yoyote na huo UOVU ulikoma. Albino waliishi Kwa Amani kipindi Cha miaka iliyopita hivi karibuni, imeanza tena.

Kwa sasa ninishuhudia mpishano usio wa kawaida wa Waganga wapiga ramli kwenye ofisi za wanasiasa Kila kukicha.

Hawana tena chembe ya Aibu,na hawajifichi, tutawezaje kuwatokomeza Hawa watu hatari katika JAMII?

Tuongeze Umakini, iwe amri kuwa, Waganga, wapiga ramli wasiwepo Tanzania ,ibaki utekelezaji tu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen

asimwe-jpg.3020827

Pia soma:
 
Wapigwe 🔥🔥🔥 tupate mafuta yao kabisaa maana wamesababisha vifo vya watu wengi wasio na hatia
 
Wapigwe 🔥🔥🔥 tupate mafuta yao kabisaa maana wamesababisha vifo vya watu wengi wasio na hatia
Ramli itokomezwe kabisa Tanzania yetu.

Ndio chanzo Cha Umaskini na kugombanisha wananchi.

Mungu yupo, manabii wa Mungu wapo, wakaulizwe hao,

Wapiga ramli wakomeshwe na kutokomeza once and for all.
 
Nafikiri kuwe na adhabu kali sana dhidi yao hawa waganga wachonganishi wakidakwa... Adhabu pekee ni kifo tu, kunyongwa au kupigwa shock ya umeme mpaka kufa ili na wao walionje joto la umauti ili kubalance mzani wa haki..

Tukikaa na ungesengese wa sijui haki za binadamu na kifungo ni kama tunacheza mduara tu na kuzunguka eneo lile lile..
 
Tatizo hapa ni
ELIMU, ELIMU, ELIMU, ELIMU, ELIMU, ELIMU, ELIMU na ikichangiwa kidogo na umasikini
Chukulia mikoa ya kaskazini ambapo takriban 85% ya watu wao angalau wamefika kidato cha nne;
Huwezi kuta upuuuzi kama huo kutoka kwa wazawa......
 
Tatizo hapa ni
ELIMU, ELIMU, ELIMU, ELIMU, ELIMU, ELIMU, ELIMU na ikichangiwa kidogo na umasikini
Chukulia mikoa ya kaskazini ambapo takriban 85% ya watu wao angalau wamefika kidato cha nne
Huwezi kuta huo upuuuzi!!!
ELIMU iwe ya Nuru,

Kuna ELIMU ya kusoma Falaki na uganga na nyota, wanapata Hadi degree, na ni ya Giza.

Huko kaskazini, wanaabudu miungu Hadi Leo, pamoja na Elimu Yao.
 
Wenyewe wanakwambia tusiabudu dini za Wazungu na Waarabu tuabudu dini zetu. Dini zetu sasa.
 
Hii dunia ni hatari sana baba Paroko mwenyewe hamwamini Mungu anaenda kwa waganga
 
Salaam, Shalom!!

Awamu ya Tatu, Ben Mkapa aliwateketeza wachuna ngozi bila huruma yoyote na huo UOVU ulikoma. Albino waliishi Kwa Amani kipindi Cha miaka iliyopita hivi karibuni, imeanza tena.

Kwa sasa ninishuhudia mpishano usio wa kawaida wa Waganga wapiga ramli kwenye ofisi za wanasiasa Kila kukicha.

Hawana tena chembe ya Aibu,na hawajifichi, tutawezaje kuwatokomeza Hawa watu hatari katika JAMII?

Tuongeze Umakini, iwe amri kuwa, Waganga, wapiga ramli wasiwepo Tanzania ,ibaki utekelezaji tu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen

asimwe-jpg.3020827

Pia soma:
- Mtoto Asimwe Novath aliyekuwa na miaka miwili na miezi sita akutwa amefariki na mwili kufungwa kwenye mfuko

- Kagera: Kisa cha Mtoto mwenye Ualibino kudaiwa kuibiwa, RPC Makungu asema tayari wameanza uchunguzi

- Damu ya huyu Mtoto Itazungumza mpaka wahusika wote na mtandao wao wapatikane popote walipo hapa duniani

- Kifo cha mtoto albino kinataka amri ya Rais sio masikitiko ya Rais

- Tumeshindwa kumlinda Asimwe
Karibu jela baba paroko utajutia kwann ulifanya uo unyama badala ya kumtumikua mungu
 
Ni matarajio yangu kuwa baada ya tukio hili serikali itapiga marufuku waganga wa kienyeji kwa kuwa nyuma ya pazia Kuna uovu mkubwa wanafanya
 
Ni kweli kabisa, waganga na wachawi hawafai katika nchi
Ramli itokomezwe kabisa Tanzania yetu.

Ndio chanzo Cha Umaskini na kugombanisha wananchi.

Mungu yupo, manabii wa Mungu wapo, wakaulizwe hao,

Wapiga ramli wakomeshwe na kutokomeza once and for all.
 
Back
Top Bottom