yassin12
Member
- Dec 31, 2012
- 10
- 0
Mwanafunzi kufutiwa matokeo yake kwa makosa ya walimu au utendaji mbovu au kuonewa kwa njia yoyote ile na baraza la mitihani wakapewa habari hyo kuhusu uonevu huo na bado wakakaa kimya mwanafunzi yupo mtaani tu anatumikia adhabu kutokana na utendaji mbaya wa watu wengine
NINI KIFANYIKE HAPO JAMANI
NINI KIFANYIKE HAPO JAMANI