Kufutwa matokeo mtihani darasa la 7

Mpigaji

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2011
Posts
384
Reaction score
42
Wizara ya Elimu na Mafunzo ilitangaza kufuta matokeo ya Wanafunzi wapatao elfu 9 waliofanya Mtihani wa Kuhitimu Elimu ya Msingi mwaka 2011 kwa sababu za udanganyifu.Je,Wizara ilifanya uamuzi sahihi kuwafutia matokeo watoto hawa?Kwa kawaida kila kituo cha Mtihani kinakuwa na wasimamizi, Je kwa nini mpaka sasa wasimamizi husika hawajaadhibiwa kwa kosa la makusudi walilofanya?
 
si wale watoto hawajui sheria?. waliwafutia ili kufurahisha jukwaa. mbona watu wanawasili mashuleni kuanza form one hajui kusoma na kuandika? uzushi tu. Mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…