Deogratius n
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 1,193
- 254
CHAD VS TAIFA STARS
Date:23.3.2016
Time:15hours EAT
Timu ya Taifa Stars leo itakuwa uwanjani kupambana na timu ya Taifa ya Chad kwenye kombe la mataifa Afrika
Nahodha mpya wa Taifa Stars ya Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu ni tegemeo kubwa kwenye mechi na Chad.
Taifa Stars ni ya tatu kundi G na pointi moja tu kwa mechi mbili walizocheza, ya kwanza walifungwa mabao matatu bila kisha wakaenda sare na Super Eagles ya Nigeria.
Misri inaongoza kundi hilo na pointi sita, Nigeria ya pili ikiwa na pointi nne.
KIKOSI CHA TAIFA STARS NA CHAD LEO NI:-
1. Aishi Manula
2. Kapombe
3. Haji Mwinyi
4. Erasto Nyoni
5. Kelvin Yondani
6. Himidi Mao Mkami
7. Thomas Ulimwengu
8. Jonas Mkude
9. Mwinyi Kazimoto
10. Mbwana Samatta na
11. Faridi
Akiba
1. Mostapha
2. Mohamed Tshabalala
3. John Boko
4. Ajibu,
5. Kichuya,
Date:23.3.2016
Time:15hours EAT
Timu ya Taifa Stars leo itakuwa uwanjani kupambana na timu ya Taifa ya Chad kwenye kombe la mataifa Afrika
Nahodha mpya wa Taifa Stars ya Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu ni tegemeo kubwa kwenye mechi na Chad.
Taifa Stars ni ya tatu kundi G na pointi moja tu kwa mechi mbili walizocheza, ya kwanza walifungwa mabao matatu bila kisha wakaenda sare na Super Eagles ya Nigeria.
Misri inaongoza kundi hilo na pointi sita, Nigeria ya pili ikiwa na pointi nne.
KIKOSI CHA TAIFA STARS NA CHAD LEO NI:-
1. Aishi Manula
2. Kapombe
3. Haji Mwinyi
4. Erasto Nyoni
5. Kelvin Yondani
6. Himidi Mao Mkami
7. Thomas Ulimwengu
8. Jonas Mkude
9. Mwinyi Kazimoto
10. Mbwana Samatta na
11. Faridi
Akiba
1. Mostapha
2. Mohamed Tshabalala
3. John Boko
4. Ajibu,
5. Kichuya,