View attachment 306266 Algeria 4 tz 0
Wewe ndio utaishia aibu
Jecha angekuwa refa hapa ningefarijika sana
Ally Mustafa mbona hajarudi? Kaumia au ni tactical move?? Kama hajaumia hapa ndo madhaifu ya Mkwasa yanapoonekana. Tuko pingufu alafu anatoka kipa? Natumai barthez kaumia tu ndo maana katoka.
Nipe matokeo, maana mama watoto hataki niangalie mpira.