KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2018, Novemba 17 2015: Algeria vs Tanzania

Hawa algeria watatua soccer sio kipaji chetu.sisi tuna skills nzuri kwenye kuiba kura na kusambaza vijembe.
 
nimekata tamaa,jamaa wanaujua mpira zetu siasa za ndiooooooo na kamati ya ushindi!hebu wamwite nani wa visiwani afute
 
Mziki tu ndo unatufuta machoz lakin mpira,siasa na bongo movie ni unaweza kuugua kichaa.
 
Bora tungempeleka Nyosso awatie ndolee" mana tunatoka empty hapa
 
Yaani huyu refa hajitambui.
Hadi mchezaji wa kumpa kadi anachaguliwa na Canavaro.
Hahaha huyu Mcameroun kweli??
Maana hadi anaboa kweli maana naye kapagawa utadhani kafungwa yeye
 
Fuatilia kanuni za mechi za mtoano utajua sababu ni ipi...

Hakuna aliyeonewa bi mkubwa...

Mimi nasema hivi kuna wengi hawapendi maendeleo yetu kwa nini kila mechi hasa hizi tunazocheza na waarabu lazima ianzie TZ na kumalizia ugenini? Kulikoni. Sijaiangalia hii mechi ziwezi kusema mengi
 
Hapa goli ni nyingi sana,na zinaweza kufika kumi kama za Shelisheli.

Hapa tujitathmini ubora wa League yetu kwanza na sio kubahatisha kwenda World Cup.
Wachezaji wamechokaaa,kukosa magoli kwao bongo ndio adhabu yao huko kwa Wamanga.

Acha World Cup iende kwa wanaojua na wenye mikakati,sio wababaishaji tubakie na Kagame yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…