Mkuu adhabu zipo lakini kwa wanyonge
Atatakiwa kulipa mishahara yote aliyolipwa
na Serikali wakati anafanya kazi.
Pia kifungo kinahusika lakini ni kwa wanyonge
kuna Mbunge maarufu sana alikuwa anaitwa
KIHIYO,CHITALILO na wengine wengi walighushi
vyeti ambavyo vina Elimu wasiyoimudu
Cha ajabu kesi zao ziliishia hewani tu zaidi
walinufaika kwa kulipwa stahiri zao km
hakuna walilotuhumiwa nalo.
Tunasema unapochafuliwa kwa tuhuma kama
hizo na una nafasi nzuri basi Serikali yenyewe
inakuja na Delitto lita mija inakuosha na kuuwa
wadudu wote halafu unakuwa msafi kama
hujawahi kutuhumiwa vile.