Salaam!
Je, ni sawa kupanga kujenga mnara pasipo kukaa chini na kupiga hesabu juu ya gharama zake?
Siasa ni sayansi, je ni sawa chama Cha siasa kumpitisha mgombea asiyekubalika ,asiyekidhi matakwa ya wapiga kura?
Ni sawa kuleta mgombea asiyependwa na wananchi?
Ni sawa kupeleka n'gombe aliyekonda mnadani tukitegemea kupata Bei nzuri sokoni?
Je, kupeleka mgombea au kupeleka jeshi vitani Ukiwa huna silaha na uhakika wa kushinda vita ni uamuzi sahihi?
Nauliza vyama vya siasa, wananchi wakifanikiwa kudai reforms kwenye Katiba na kupata Tume huru ya Uchaguzi, tutaendelea na mgombea aliyepo au tutambadili?
Kugombea na kutumia gharama kubwa ukijua hutoshinda, ni sawa na KUTOGOMBEA?
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Nawasilisha!
Je, ni sawa kupanga kujenga mnara pasipo kukaa chini na kupiga hesabu juu ya gharama zake?
Siasa ni sayansi, je ni sawa chama Cha siasa kumpitisha mgombea asiyekubalika ,asiyekidhi matakwa ya wapiga kura?
Ni sawa kuleta mgombea asiyependwa na wananchi?
Ni sawa kupeleka n'gombe aliyekonda mnadani tukitegemea kupata Bei nzuri sokoni?
Je, kupeleka mgombea au kupeleka jeshi vitani Ukiwa huna silaha na uhakika wa kushinda vita ni uamuzi sahihi?
Nauliza vyama vya siasa, wananchi wakifanikiwa kudai reforms kwenye Katiba na kupata Tume huru ya Uchaguzi, tutaendelea na mgombea aliyepo au tutambadili?
Kugombea na kutumia gharama kubwa ukijua hutoshinda, ni sawa na KUTOGOMBEA?
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Nawasilisha!