KERO Kuhakiki vyeti vya elimu kabla ya kuomba Ajira Serikalini ni usumbufu na kikwazo kwa waomba Ajira Tanzania

KERO Kuhakiki vyeti vya elimu kabla ya kuomba Ajira Serikalini ni usumbufu na kikwazo kwa waomba Ajira Tanzania

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Jantisa

Member
Joined
Feb 13, 2023
Posts
51
Reaction score
47
Habari Wana jamvi hivi ni kwanini tukitaka kuomba Ajira za Serikalini tunahitajika ku-certify vyeti vyetu vya elimu kwa wanasheria au mahakamani?

Je, mamlaka za Ajira hazitambui vyuo tulivyosoma au kuna umuhimu gani haswa wa ku-certify vyeti hivyo.

Je, Kama vyuo tulivyosoma vinatambuliwa na mamlaka zote kama TCU, NECTA na Nactvet ni kwanini wanataka tuhakiki vyeti kwa wanasheria

Mfano wapo vijana walioshindwa kuitwa kwenye usaili sekretarieti ya Ajira kwa kushindwa kupiga mihuri ya wanasheria vyeti vyao hali iliyolikosesha taifa nguvu Kazi na kumfanya kijana kupoteza fursa ya kupambania ajira.

Naomba kuwasilisha.
 
Ni mfumo kandamizi tu maama Taarifa zote zipo kwenye cheti kma ni number za kuhakiki zipo na bado siku ya interview wanahakiki tena na ukipata ajira afisa utumishi ana hakiki tena Kwa kuvituma baraza Kuna mda mwingine sijui Taifa langu linaenda wapi
 
Habari Wana jamvi hivi ni kwanni tukitaka kuomba Ajira za serikalini tunahitajika kucertify vyeti vyetu vya elimu kwa wanasheria au mahakamani.

Je, mamlaka za Ajira hazitambui vyuo tulivyosoma au Kuna umuhimu gani haswa wa kucertify vyeti hivyo.

Je, Kama vyuo tulivyosoma vinatambuliwa na mamlaka zote kama TCU, NECTA na Nactvet ni kwanini wanataka tuhakiki vyeti kwa wanasheria

Mfano wapo vijana walioshindwa kuitwa kwenye usaili sekretarieti ya Ajira kwa kushindwa kupiga mihuri ya wanasheria vyeti vyao hali iliyolikosesha taifa nguvu Kazi na kumfanya kijana kupoteza fursa ya kupambania ajira.

Naomba kuiwasilisha.
Ni lazime tusije kukuta kama nape cheti chake form 4
 
Habari Wana jamvi hivi ni kwanni tukitaka kuomba Ajira za serikalini tunahitajika kucertify vyeti vyetu vya elimu kwa wanasheria au mahakamani.

Je, mamlaka za Ajira hazitambui vyuo tulivyosoma au Kuna umuhimu gani haswa wa kucertify vyeti hivyo.

Je, Kama vyuo tulivyosoma vinatambuliwa na mamlaka zote kama TCU, NECTA na Nactvet ni kwanini wanataka tuhakiki vyeti kwa wanasheria

Mfano wapo vijana walioshindwa kuitwa kwenye usaili sekretarieti ya Ajira kwa kushindwa kupiga mihuri ya wanasheria vyeti vyao hali iliyolikosesha taifa nguvu Kazi na kumfanya kijana kupoteza fursa ya kupambania ajira.

Naomba kuiwasilisha.
Hicho ni kama kiapo unachoapa kwamba nyaraka yako husika ni genuine sio forgery.

Baadae ikithibitika ulifanya forgery basi kile kiapo kinakubana.
 
Ni mfumo kandamizi tu maama Taarifa zote zipo kwenye cheti kma ni number za kuhakiki zipo na bado siku ya interview wanahakiki tena na ukipata ajira afisa utumishi ana hakiki tena Kwa kuvituma baraza Kuna mda mwingine sijui Taifa langu linaenda wapi
Hakika inaleta usumbufu tu kwa vijana
 
Mleta uzi, sababu kubwa ya kuhakiki nakala ya cheti kama ni nakla halisi ni ili;
1. Kuweza kumshtaki mtu aliyegushi nyaraka husika
2. Nyaraka ngumu ikiwekwa kuwa ya kielekroniki hubadilika na kuwa nakala

Yote haya ni ili kuweza kukutia hatiani ikiwa utadanganya kwa kugushi. Bila hivyo itakuwa ngumu kukukamata hasa kwa nyaraka iliyozalishwa upya.

NB: HAKIKISHA UNAHAKIKIWA NAKALA ZA VYETI VYAKO NA WAKILI KWA KUTUMIA MHURI WENYE BAR CODE MAARUFU KAMA MHURI WA TLS AU MHURI WA KIELEKTRONIKI.
 
Hawezi huo ujinga sababu sahivi tunatumia mihuri yenye barcode na inatolewa na TLS tu.
Hata Muhuri wa TLS ni janja janja tu mradi wa mtu anakula pesa zake kiulaini.

Ili muhuri wa TLS uwe effective kunahitajika parts mbili, kwa maana ya mfumo.

Lazima kuwe na mifumo miwili inayosomana.

Mfumo wa kwanza ni wenu mawakili, huduma mnazotoa ni za viapo vya uhalali wa nyaraka mbalimbali na taarifa.

Hivyo basi mfumo wa 1 utakua na database ya mawakili wote waliosajiliwa.

Mfumo utakuhitaji kujaza taarifa zote za mteja wako kuanzia aina ya huduma, na vielelezo vingine uta log taarifa zote muhimu.

Bila kusahau gharama za tozo zako za huduma ili TRA wachukue chao, na kodi zingine kama ni mauziano ya mali ili TRA wabebe chao😂😂.

Hiyo ni part 1 ya mfumo.

Part ya pili ya mfumo ni ya uhakiki, hii inatumiwa sehemu zote ambazo nakala zitahitaji kuhakikiwa kama ni halali na sio za kugushi.

Huku wata scan QR code na kupata taarifa zote za mteja mpaka muda uliogonga muhuri wako wataona kwenye mfumo.

Ikiwa kachongesha muhuri mtaani maana yake hakutakua na taarifa kwenye mfumo ambazo zinapaswa kujazwa kwenye mfumo hivyo basi moja kwa moja huyu mtu amegushi.

Sasa wewe ndugu embu jiulize kuna mfumo kama huu hapo TLS, ndio mana nasema hiyo mihuri ni mradi tu wa upigaji ila hamna kitu inazuia.

Haya nimewapa mawazo wapelekeeni viongozi wenu, tupate kodi kwa kila muhuri mtakaogonga😂😂
 
Hata Muhuri wa TLS ni janja janja tu mradi wa mtu anakula pesa zake kiulaini.

Ili muhuri wa TLS uwe effective kunahitajika parts mbili, kwa maana ya mfumo.

Lazima kuwe na mifumo miwili inayosomana.

Mfumo wa kwanza ni wenu mawakili, huduma mnazotoa ni za viapo vya uhalali wa nyaraka mbalimbali na taarifa.

Hivyo basi mfumo wa 1 utakua na database ya mawakili wote waliosajiliwa.

Mfumo utakuhitaji kujaza taarifa zote za mteja wako kuanzia aina ya huduma, na vielelezo vingine uta log taarifa zote muhimu.

Bila kusahau gharama za tozo zako za huduma ili TRA wachukue chao, na kodi zingine kama ni mauziano ya mali ili TRA wabebe chao😂😂.

Hiyo ni part 1 ya mfumo.

Part ya pili ya mfumo ni ya uhakiki, hii inatumiwa sehemu zote ambazo nakala zitahitaji kuhakikiwa kama ni halali na sio za kugushi.

Huku wata scan QR code na kupata taarifa zote za mteja mpaka muda uliogonga muhuri wako wataona kwenye mfumo.

Ikiwa kachongesha muhuri mtaani maana yake hakutakua na taarifa kwenye mfumo ambazo zinapaswa kujazwa kwenye mfumo hivyo basi moja kwa moja huyu mtu amegushi.

Sasa wewe ndugu embu jiulize kuna mfumo kama huu hapo TLS, ndio mana nasema hiyo mihuri ni mradi tu wa upigaji ila hamna kitu inazuia.

Haya nimewapa mawazo wapelekeeni viongozi wenu, tupate kodi kwa kila muhuri mtakaogonga😂😂
Siku nyingine usiongee usichokijua vizuri. Hayo yote uliyoyasema yapo kwenye App inayotumiwa kuitambua hiyo mihuri.

Ingia playstore au App store ukatafute App inaitwa WakiliStamp uje uone ulivyokurupuka kiduanzi
 
Siku nyingine usiongee usichokijua vizuri. Hayo yote uliyoyasema yapo kwenye App inayotumiwa kuitambua hiyo mihuri.

Ingia playstore au App store ukatafute App inaitwa WakiliStamp uje uone ulivyokurupuka kiduanzi
Ishu sio kutambua bali verification ndio ina matter, kwasababu hiyo qr code haina maajabu yoyote kama hamna verification na verification sio kutegemea hiyo QR peke ake inawezekana unauelewa finyu kwenye mifumo ya authenticity verification kwamba unaamini hiyo picha ya QR peke ake inatosha😂😂.

Nilichoandika hapo juu ndio njia pekee ngumu kuwa compromised unless hackers waingilie mfumo kubadili taarifa.

Nipo tayari kukupa pesa yoyote ukinipa uhakika wa nilichoandika kinafanyika 😂😂😂😂
 
Siku nyingine usiongee usichokijua vizuri. Hayo yote uliyoyasema yapo kwenye App inayotumiwa kuitambua hiyo mihuri.

Ingia playstore au App store ukatafute App inaitwa WakiliStamp uje uone ulivyokurupuka kiduanzi
Tatizo mnaaminishwa vitu na ninyi mnaamini, kuna mambo mengine sio vifungu vya sheria mseme mtegemee kuvimeza kichwani 😂😂😂😂.
Ni science & tech

Umesikia wakili msomi.
 
Back
Top Bottom