Gray Ze Don Member Joined Aug 18, 2013 Posts 36 Reaction score 3 Aug 21, 2013 #1 Wajamen plz nisaidieni.eti unaweza kuhama chuo na faculty?eg kutoka Teku (baEd) kwnda Makumira (law)
F flyn ryder JF-Expert Member Joined Aug 9, 2013 Posts 656 Reaction score 86 Aug 21, 2013 #2 inawezekana but process ni kubwa sana na inategemea kama hio law huko makumira kama haijajaaa
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,890 Reaction score 2,795 Aug 21, 2013 #3 Tangu haya mambo ya TCU yaanze nashindwa kucomment coz kila siku mabadiliko. Ngoja wadau waje kukusaidia. ENzi zetu si haya mambo hayakuwepo
Tangu haya mambo ya TCU yaanze nashindwa kucomment coz kila siku mabadiliko. Ngoja wadau waje kukusaidia. ENzi zetu si haya mambo hayakuwepo
O oil sumu JF-Expert Member Joined Jun 26, 2013 Posts 787 Reaction score 47 Aug 21, 2013 #4 Gray Ze Don said: Wajamen plz nisaidieni.eti unaweza kuhama chuo na faculty?eg kutoka Teku (baEd) kwnda Makumira (law) Click to expand... we nenda teku hukitaka kuhama sawa lakn mkopo hauami sawa!
Gray Ze Don said: Wajamen plz nisaidieni.eti unaweza kuhama chuo na faculty?eg kutoka Teku (baEd) kwnda Makumira (law) Click to expand... we nenda teku hukitaka kuhama sawa lakn mkopo hauami sawa!
paul kitereja JF-Expert Member Joined Jun 15, 2012 Posts 260 Reaction score 45 Aug 21, 2013 #5 ulikichaguaje sasa!? wanafunzi wa bongo bwanah..