Tetesi: Kuhamia Dodoma: Gharama za uhamisho kulipwa kwa Mke/Mume tu

Tetesi: Kuhamia Dodoma: Gharama za uhamisho kulipwa kwa Mke/Mume tu

MKUNIRWA

Member
Joined
Jul 1, 2016
Posts
19
Reaction score
12
Zipo standing order za kiutumishi zinazotoa miongozo ya kumuhamisha Mtumishi kutoka kituo kimoja cha kazi kwenda kingine mfano Mtumishi mwenye Mke/Mme na watoto/tegemezi taratibu zinasema kuwa atalipiwa gharama za kujikimu,mizigo yeye na mwenza wake pamoja na watoto/tegemezi.

Lakini cha kushangaza kwa fununu zilizopo Bwana Mkubwa ametoa maelekezo kuwa hakuna cha mtoto wala tegemezi bali atamlipia Mme/Mke tu. Sasa najiuliza hivi kweli kiongozi wa namna hii anamjua Mungu kweli?

Amekuwa ni mtu wa kuvunja sheria na taratibu zilizowekwa kwakweli wananchi tupige kelele kwa pamoja endapo maamuzi haya yatapitishwa ni dhaili huyu jamaa katoka kwa Shetani.
 
Bado matamko machache sana wananchi wataanza kumfahamu vizuri
 
Mbona husubiri litekelezwe ili uthibitishe! hata hivyo ktk taratibu za kiutawala, kiongozi akitoa agizo ni sheria, and the leader is always right. Tatizo ni pale utakapo sema hapana kakosea na ukaenda mahakamani kupata tafsri. Rais ana kinga, na hashtakiwi kwa sababu kiongozi siku zote yuko sahihi.
 
Zipo standing order za kiutumishi zinazotoa miongozo ya kumuhamisha Mtumishi kutoka kituo kimoja cha kazi kwenda kingine mfano Mtumishi mwenye Mke/Mme na watoto/tegemezi taratibu zinasema kuwa atalipiwa gharama za kujikimu,mizigo yeye na mwenza wake pamoja na watoto/tegemezi.

Lakini cha kushangaza kwa fununu zilizopo Bwana Mkubwa ametoa maelekezo kuwa hakuna cha mtoto wala tegemezi bali atamlipia Mme/Mke tu. Sasa najiuliza hivi kweli kiongozi wa namna hii anamjua Mungu kweli?

Amekuwa ni mtu wa kuvunja sheria na taratibu zilizowekwa kwakweli wananchi tupige kelele kwa pamoja endapo maamuzi haya yatapitishwa ni dhaili huyu jamaa katoka kwa Shetani.
UKUTA una maana kubwa sana!
 
Zipo standing order za kiutumishi zinazotoa miongozo ya kumuhamisha Mtumishi kutoka kituo kimoja cha kazi kwenda kingine mfano Mtumishi mwenye Mke/Mme na watoto/tegemezi taratibu zinasema kuwa atalipiwa gharama za kujikimu,mizigo yeye na mwenza wake pamoja na watoto/tegemezi.

Lakini cha kushangaza kwa fununu zilizopo Bwana Mkubwa ametoa maelekezo kuwa hakuna cha mtoto wala tegemezi bali atamlipia Mme/Mke tu. Sasa najiuliza hivi kweli kiongozi wa namna hii anamjua Mungu kweli?

Amekuwa ni mtu wa kuvunja sheria na taratibu zilizowekwa kwakweli wananchi tupige kelele kwa pamoja endapo maamuzi haya yatapitishwa ni dhaili huyu jamaa katoka kwa Shetani.
Mkuu ukiishi kwa fununu hufiki mbali....utaishia kwenye magonjwa ya roho.
 
Mbona husubiri litekelezwe ili uthibitishe! hata hivyo ktk taratibu za kiutawala, kiongozi akitoa agizo ni sheria, and the leader is always right. Tatizo ni pale utakapo sema hapana kakosea na ukaenda mahakamani kupata tafsri. Rais ana kinga, na hashtakiwi kwa sababu kiongozi siku zote yuko sahihi.

Hii mupya kabisa, yaani bado iko kwenye box....
Kama ndo hivo kuna haja gani sasa ya kuwepo hizi sheria, mfano hiyo standing order ukimhamisha mtumishi unamlipa si bora ziondolewe sasa? Mkataba wa kazi unasema kila July first kutakua na incriment afu from no where tu bila maelezo haziwekwi si ziondolewe?
 
Mbona husubiri litekelezwe ili uthibitishe! hata hivyo ktk taratibu za kiutawala, kiongozi akitoa agizo ni sheria, and the leader is always right. Tatizo ni pale utakapo sema hapana kakosea na ukaenda mahakamani kupata tafsri. Rais ana kinga, na hashtakiwi kwa sababu kiongozi siku zote yuko sahihi.

Hapana. Mfalme ndio mwenye huo utashi lakini Rais wakuchaguliwa ni lazma haongozwe kwa katiba na kanuni. Rais hana uwezo wakutunga sheria ila ana uwezo wakuipitisha sheria.
 
Kwakweli, yani swala la UKUTA sio ishu ya chadema, ni watanzania wote tunaoathirika na haya matamko hewa na udikteta uchwara, ni basi tu kwakua miafrika ndivyo tulivyo
Very sure, huyu mtu anaipeleka nchi pabaya! CDM wana maono makubwa na wala siyo kuwa wanampinga au hawampendi Magufuli, hapana, ni matamshi kama haya ya kuvunja sheria nataratibu kibaya zaidi na KATIBA
 
Je ni wangapi wenye kufahamu haki zao? ni asilimia ngapi wenye kuangalia uhalisia na kwa kuwa hii ni tetesi basi tusubiri kwanza.... subira yavuta heri.... naamini wafanyakazi watapata haki zao na tegemezi watapata chao kupitia hao watakaopata haki zao...
 
Back
Top Bottom