maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Wakuu,
Kufuatia hatua ya serikali kuhamia Dodoma ni wazi kwa sasa huo ndio mji unaoweza kuwa na fursa nyingi za kibiashara kuliko mji wowote hapa Tz. Sababu ipo wazi watumishi wengi wanazidi kuhamia kwa kasi na bado hapo mabalozi na HQ za taasisi nyingine kama mabenki,tfda,tbs etc hazijaenda.
Binafsi nampango wa kwenda ku-survey mwezi july ili kuangalia fursa zipi za kibiashara zinaweza kuwa nzuri na ikiwezekana nihamie kabisa ili kwenda sambamba na ukuaji wa haraka wa mji wetu mkuu.
Naomba tuungane hapa hasa kwa waliopo Dom kutoa changamoto na fursa mbalimbali zilizopo kwa sasa kuanzia kodi za frame,nyumba,upatikanaji wake na hata sehemu muhimu ambazo mtu anaweza akatega kitu kama mini-supermarket,hardware,pharmacy,salon,
boutique,car wash,garage,duka la vipodozi,butchery, n.k.
Kufuatia hatua ya serikali kuhamia Dodoma ni wazi kwa sasa huo ndio mji unaoweza kuwa na fursa nyingi za kibiashara kuliko mji wowote hapa Tz. Sababu ipo wazi watumishi wengi wanazidi kuhamia kwa kasi na bado hapo mabalozi na HQ za taasisi nyingine kama mabenki,tfda,tbs etc hazijaenda.
Binafsi nampango wa kwenda ku-survey mwezi july ili kuangalia fursa zipi za kibiashara zinaweza kuwa nzuri na ikiwezekana nihamie kabisa ili kwenda sambamba na ukuaji wa haraka wa mji wetu mkuu.
Naomba tuungane hapa hasa kwa waliopo Dom kutoa changamoto na fursa mbalimbali zilizopo kwa sasa kuanzia kodi za frame,nyumba,upatikanaji wake na hata sehemu muhimu ambazo mtu anaweza akatega kitu kama mini-supermarket,hardware,pharmacy,salon,
boutique,car wash,garage,duka la vipodozi,butchery, n.k.