Kuhamia Dodoma na fursa zake: mi na ya matofari

Kuhamia Dodoma na fursa zake: mi na ya matofari

Lububi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
2,158
Reaction score
3,808
Kila kitu kinaanza na wazo.

Nimeona ni fursa kuwekeza katika matofari ya block huko Dodoma nikiamin kutakuwepo na ujenzi wa majumba mbalimbali kukabiliana na mahitaji ya majengo mbali mbali.

Sasa kwa anayejua udongo wa Dodoma vizuri (maana mi hupita tu na naelewa vizuri kwa kanda ya ziwa),

Je mashine ya kutengeneza tofari za block za udongo tu wa mfinyanzi bila cement itawezekana? Au ardhi yao haina udongo huo!
 
Udongo upo mwingi tu,kwani hujaona unapoanza kuingia Dom kuna nyumba za tope?
 
Back
Top Bottom