Kuhamisha kituo cha kazi serikalini

van penga

Member
Joined
Feb 24, 2013
Posts
74
Reaction score
4
habari wataalamu wa sheria...nikiwa mtumishi wa taasisi ya umma na nimeomba kazi tume ya utumishi wa ajira kwa post ya juu kuliko niliyopo na nikafanikiwa kupata, nimemfuata mwajiri wangu wa mwanzo amekataa kunihamishia kwenye hii kazi mpya kwa kuwa sikupitisha barua ya kuombea kazi ofisini kwake kabla ...naomba ushauri wa kisheria nini cha kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…