KERO Kuharibika kwa miundombinu ya umeme na ucheleweshwaji wa utatuzi wa dharura Bagamoyo

KERO Kuharibika kwa miundombinu ya umeme na ucheleweshwaji wa utatuzi wa dharura Bagamoyo

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Cyriacus Kakira

New Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
3
Reaction score
6
Ni jambo la kushangaza, hii nguzo iko hivi, siku ya nne inaisha, inaenda siku ya tano, nguzo hii imelala hivi! Je, wahusika wa kutatua dharura za miundombinu ya umeme mjini Bagamoyo hawajaona? Au je, hawajui umuhimu wa kurekebisha tatizo kama hili haraka?

Ushauri wangu: Si busara kusubiri tatizo fulani lianze kuzaa madhara zaidi. Wahusika warekebishe hili tatizo ambalo ni hatari kwa usalama wa raia na mali zao.

1000357658.jpg
 
Ni jambo la kushangaza, hii nguzo iko hivi, siku ya nne inaisha, inaenda siku ya tano, nguzo hii imelala hivi! Je, wahusika wa kutatua dharura za miundombinu ya umeme mjini Bagamoyo hawajaona? Au je, hawajui umuhimu wa kurekebisha tatizo kama hili haraka?

Ushauri wangu: Si busara kusubiri tatizo fulani lianze kuzaa madhara zaidi. Wahusika warekebishe hili tatizo ambalo ni hatari kwa usalama wa raia na mali zao.

Tulikuwa dodoma mkuu. Vumilia yumefika dumila tunarudi
 
Back
Top Bottom