Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Na si ajabu nyingi ya kura zinazoharibika wahusika walikuwa wanakusudia kupiga kwa chama pinzani hivyo kasoro kidogo tu basi chama filisi cha mafisadi huzishupalia ili zisihesabike.
hapo umegonga ikulu mkuu!Eti alama ya vema ikigusa au itoka nje ya kisanduku basi kura imeharibika! Wakati si watanzania wote wanaweza kuandika kwa ufasaha.
Eti alama ya vema ikigusa au itoka nje ya kisanduku basi kura imeharibika! Wakati si watanzania wote wanaweza kuandika kwa ufasaha.