Nimepata hasira aaggggrrrr nimekumbuka one day nimepewa hela noti 3 nkajua buku 30
nyambaff nimezirushia mfukoni fasta badae kuzihesabu kumbe ni buku tatu!!!!
Sijawahi pewa hata 100
Nimepata hasira aaggggrrrr nimekumbuka one day nimepewa hela noti 3 nkajua buku 30
nyambaff nimezirushia mfukoni fasta badae kuzihesabu kumbe ni buku tatu!!!!
Huwa mnapewa baada ya kufanya kazi gani?
Hahahahahaha nimecheka balaaa na mie siku moja nimepewa hela sasa ilikuwa gizaa nikapewa noti 3 nikajua 30 kumbe ni elfu 5 tano tu duu alinikomaaaa kesho yake akaniongezea
Siku hiz nahesabu mbele yake kabisaa kama ndogo namwambia hii ndogo banaaa
Huwa mnapewa baada ya kufanya kazi gani?
Huwa unampa wewe tu lol una raha mim sijawahi kumpa mwanaume hata kumi yangu nkijitahid labda nimnunulie soda tu
salama sana
mi pia nakumisigi
habari zenu wanajamvi,
naombeni mnijuze kwa mitizamo yenu, kuna tatizo gani mpenzi wako akikupa pesa nawe ukaihesabu hapohapo kujua ni kiasi gani, nimekua nikiona wengi sanasana wadada yan akipewa tu yeye ana ihifadhi halafu anaenda kuhesabia mbele baada ya kuachana na aliyempa. Kwani kuna tafsiri gani hapo kama utaamua kuhesabu misimbazi yako ili ujue kama amekidhi maombi/makubaliano? Nipeni mitizamo yenu ili nifahamu kama huwa nakosea kufanya mahesabu yangu hapo mbele yake.