Kuhisi mwili unaungua moto

Jicho la Tai

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
1,450
Reaction score
600
Kuna wakati mtu unaweza ukajikuta unahisi mwili kama unaungua moto. Hii hutokana na nini? na ni namna gani ya kuweza kudhibiti?
 
Una umri gani? Jinsia yako? Kama ni mwanamke 35+ inaweza ikawa dalili ya menopause.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…