Kuhitaji katiba mpya ni kosa kisheria?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Naomba kujua kama kuhitaji katiba mpya ni kuvunja sheria au nikienda mahakamani kuidai au kudai mchakato wa katiba mpya uanze je ni kosa
 
sio kosa ila kipigo chake sasa ni cha mbwa koko
 
Naomba kujua kama kuhitaji katiba mpya ni kuvunja sheria au nikienda mahakamani kuidai au kudai mchakato wa katiba mpya uanze je ni kosa
Sio kosa ila ukienda tuu ni kosa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…