kuhonga ni.....

we mhongaji wa vitumbua vya ccbrt upo?

QUOTE=The Finest;2937507]Akija hapa awe anajua kuhonga sio anaishia kuhonga chips mayai na mountain dew
Najua kuhonga fanta na chips ngumu yaani mihogo
Halafu nikihonga sana ni nauli ya daladala na asubuhi yake nampa chai ya rangi na mkate
n[/QUOTE]
 
Nipo aise namtafuta wa kumhonga chips ngumu hapa na fanta
na nimpe nauli ya daladala kesho asubuhi ya kurudi kwake
 
He he he, njoo Manzese uhonge karolait moja kwa miezi sita, huduma kila unapohitaji

Nipo aise namtafuta wa kumhonga chips ngumu hapa na fanta
na nimpe nauli ya daladala kesho asubuhi ya kurudi kwake
 
He he he, njoo Manzese uhonge karolait moja kwa miezi sita, huduma kila unapohitaji

Aise nakuja
Hawa wa huku bana kila ukikutana nae lazima fanta au coke ikutoke
Ahhh bora nipate huyo wa kumhonga carolait napata huduma
 
Ni PM saa moja baada ya kutoka Mbagala

Aise nakuja
Hawa wa huku bana kila ukikutana nae lazima fanta au coke ikutoke
Ahhh bora nipate huyo wa kumhonga carolait napata huduma
 
sasa hivi niko hapa Mandazi road
nauza supu

kweli nina hamu ya kuhongwa

Hahhahahahahaa
Ukiwa na wewe ni mtu wa siku hizi una matatizo vile vile
Nikuje mitaa gani nije kuhonga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…