Najua kuhonga fanta na chips ngumu yaani mihogoQUOTE=The Finest;2937507]Akija hapa awe anajua kuhonga sio anaishia kuhonga chips mayai na mountain dew
Nipo aise namtafuta wa kumhonga chips ngumu hapa na fanta
na nimpe nauli ya daladala kesho asubuhi ya kurudi kwake
He he he, njoo Manzese uhonge karolait moja kwa miezi sita, huduma kila unapohitaji
Aise nakuja
Hawa wa huku bana kila ukikutana nae lazima fanta au coke ikutoke
Ahhh bora nipate huyo wa kumhonga carolait napata huduma
Mbona nilikudeep hukupatikanaNi PM saa moja baada ya kutoka Mbagala
Mbona nilikudeep hukupatikana
Simu yako ilikuwa inasema no unayodip haipatikani
HahhahahahahaaAfu nyie watu siku hizi mnz matatizo sana.
Hahhahahahahaa
Ukiwa na wewe ni mtu wa siku hizi una matatizo vile vile
Nikuje mitaa gani nije kuhonga