walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,796
- 5,553
Habari za asubui ndugu zangu, natumai wote muwazima wa afya.
Niende kwenye mada husika moja kwa moja, kumekuwa na tabia ambayo sio nzuri kwenye ofisi zetu unakuta imekuja safari labda kuhudhuria training/semina na kwenye hiyo semina utakuta inawataka waende maofisa sasa kutokana na roho za ubinafsi unakuta wakuu wa idara wanakwenda kwenye hizo semina na wakati mwingine zinakuja semina za mameneja pia nao wanataka kwenda sasa nashindwa kuelewa tunakuwa na roho mbaya kiasi hichi hivi kweli tutafika kwa staili hii kweli.
Hizi semina zinakuwa zinatoa mchango mkubwa sana kwenye kuongeza ufanisi hasa kwenye majukumu yetu ya kila siku sasa inakuwaje hawa ndugu zetu wanakuwa na urafiki kiasi hichi wizara zenye dhamana wanajua haya maovu yanayotendeka kweli au hawajui.
Naomba niwasilishe wadau
Niende kwenye mada husika moja kwa moja, kumekuwa na tabia ambayo sio nzuri kwenye ofisi zetu unakuta imekuja safari labda kuhudhuria training/semina na kwenye hiyo semina utakuta inawataka waende maofisa sasa kutokana na roho za ubinafsi unakuta wakuu wa idara wanakwenda kwenye hizo semina na wakati mwingine zinakuja semina za mameneja pia nao wanataka kwenda sasa nashindwa kuelewa tunakuwa na roho mbaya kiasi hichi hivi kweli tutafika kwa staili hii kweli.
Hizi semina zinakuwa zinatoa mchango mkubwa sana kwenye kuongeza ufanisi hasa kwenye majukumu yetu ya kila siku sasa inakuwaje hawa ndugu zetu wanakuwa na urafiki kiasi hichi wizara zenye dhamana wanajua haya maovu yanayotendeka kweli au hawajui.
Naomba niwasilishe wadau