Kwenye mahusiano sio mara zote wewe unakuwa 'umeshika kwenye mpini'....ikitokea mwanaume ndio kashika mpini utajikuta 'unampa' tu atakacho!.... kama inakushindaa kwaheri
Ndio maana ndoa nyingi zitaendelea kuvunjika... Haya ni majukumu ya msingi kwa mwanamke yeyote na hata kama wote tumeajiriwa Houseboy/girl anasuppliment tu na iko siku nitataka wewe unipikie na pia sio busara hao wengine wakanifulia nguo zangu katika mazingira ya kawaida. Hapa ndipo maendeleo na uzungu unapotumislead!! I stand to be criticised!
Ni kama vile wanatufanyia Interview! hapo hujanipata. Hayo nitafanya ukinivisha pete wangu. kama inakushindaa kwaheri
Kwenye mahusiano sio mara zote wewe unakuwa 'umeshika kwenye mpini'....ikitokea mwanaume ndio kashika mpini utajikuta 'unampa' tu atakacho!
sijui nihamie kwa nani nikafue?
si mnataka watu wa kufua?No plz!! Huu sasa utani.
where?1 post still available for an interview
Kwani wewe ni mfanyakazi wake?? Unamuhudumia au unamfanyia kazi??? Mie dah hapana kazi zote hizo??? Hapana (Msiniulize nani hunifanyia za kwangu tafadhali)
Sina tatizo na kukufulia na kukupikia 365 days a year, tatizo linakuja kuwa sote tumekuwa waajiriwa, katika maisha ya leo. Kwa hiyo wote tunaingia nyumbani kuanzia saa moja na nusu jioni (tulio na bahati mbaya ya kukaa maeneo ya pembezoni mwa mji). Naamini kwa muda huu kuingia jikoni na kuanza kujipikilisha, na uchovu wa kazini (ambao nina hakika na wewe mwenzangu unao) tutalazimika kumuajiri msaidizi. Kwa hiyo sidhani kama ni uzungu ndugu yangu, bali ni suala la sisi wenyewe kuwa considerate kwa wenza wetu. Kama niko tu nyumbani, naamini hayo hayawezi kushindikana.
Imagine tumeingia wote nyumbani, unadai chai, maji ya kuoga, chakula to name a few....jamani hata kumfikiria mwenzio kuwa naye alikuwa kazini, au kazi zako tu ndio zinachosha?
Tukirudi kwa wakaka wanaotaka huduma hizi kabla hata ya kuoa, nafikiri mara nyingi akina dada nao wanafanya hivyo kwa kujiona wako insecured na mostly on the loosing side. Kama alivyosema mdau mmoja, wewe ukigoma anakuja mwingine fasta na kufanya huduma zote hizo si ajabu na hela ya matumizi akaacha (haa haa..) Lakini the bottom line ni kuwa unaweza kuvunja mgongo kufua, kupika, usafi mpaka ukalima na bustani ya mboga nje, lakini mwisho wa siku inawezekana kabisa kuna mwingine pembeni ambaye hasumbuliwi kwa namna yoyote ile na anatengeneza kucha mwanzo mpaka mwisho wa wiki (hazigusi maji zaidi ya anayoogea), ambaye ndiyo akaolewa kwa shangwe zote! Na wewe 'employee of the year' ukabaki unasoma namba...tafakari na chukua hatua.
Alafu bibie umepotea wewe? Nahisi ulikuwa ukimfulia mtu!
kweli shost halafu mtu kakupotezea muda kakuweka ndani muda wooote huo heri ukae tu mtaani single unakuwa na uhuru wa kuchagua heri heri ubaki kwenye soko wanunuzi wengi mbona?tatizo wanawake tunapenda kungangania?Sina tatizo na kukufulia na kukupikia 365 days a year, tatizo linakuja kuwa sote tumekuwa waajiriwa, katika maisha ya leo. Kwa hiyo wote tunaingia nyumbani kuanzia saa moja na nusu jioni (tulio na bahati mbaya ya kukaa maeneo ya pembezoni mwa mji). Naamini kwa muda huu kuingia jikoni na kuanza kujipikilisha, na uchovu wa kazini (ambao nina hakika na wewe mwenzangu unao) tutalazimika kumuajiri msaidizi. Kwa hiyo sidhani kama ni uzungu ndugu yangu, bali ni suala la sisi wenyewe kuwa considerate kwa wenza wetu. Kama niko tu nyumbani, naamini hayo hayawezi kushindikana.
Imagine tumeingia wote nyumbani, unadai chai, maji ya kuoga, chakula to name a few....jamani hata kumfikiria mwenzio kuwa naye alikuwa kazini, au kazi zako tu ndio zinachosha?
Tukirudi kwa wakaka wanaotaka huduma hizi kabla hata ya kuoa, nafikiri mara nyingi akina dada nao wanafanya hivyo kwa kujiona wako insecured na mostly on the loosing side. Kama alivyosema mdau mmoja, wewe ukigoma anakuja mwingine fasta na kufanya huduma zote hizo si ajabu na hela ya matumizi akaacha (haa haa..) Lakini the bottom line ni kuwa unaweza kuvunja mgongo kufua, kupika, usafi mpaka ukalima na bustani ya mboga nje, lakini mwisho wa siku inawezekana kabisa kuna mwingine pembeni ambaye hasumbuliwi kwa namna yoyote ile na anatengeneza kucha mwanzo mpaka mwisho wa wiki (hazigusi maji zaidi ya anayoogea), ambaye ndiyo akaolewa kwa shangwe zote! Na wewe 'employee of the year' ukabaki unasoma namba...tafakari na chukua hatua.
Kwa mtanzaniawhere?
Ha ha ha nilikuwa namfulia Mulama kuleee kwenye JF Mshenga Chit Chat.
Mkirua habari yako binafsi
Binafsi mie bomba tu sijui wewe na ulokuwa ukimfulia na kama umepasi mtihani tujiandae kupokea mahari!
na ndo maana siku hzi hawaoi kama anapata huduma zote za ndoa ataoa akitafuta nini?wadada wote tungewakaushia hawa mabrazameni wangekuwa na adabu.ukikataa wewe mwenzio anahamia fasta kazi kweli kweli
Nilidhani tunazungumzia mahusiano ya kabla ya ndoa....ambayo kimsingi yanakuwa na imbalances (mpini/makali) za kila namna. Pale mwanzo ndio maana nikasema kuna 'nipe, nikupe' (compromises) nyingi tu katika kujaribu kutengeneza mahusiano ambayo baadae yanaweza kwenda kwenye hatua ya ndoa........ Ndoa ni suala la upendano wa wote wawili mambo ya mpini na makali yanaashiria mashinano jambo ambalo si zuri ktk ndoa.
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
na huvutia zaidi mwanaume ikiwa huzai/matatizo ya sperm cjui Mwanamke akikumwaga bse huwezi kumimbisha inakuaje