Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,811
- 623
mchagua nazi....................?
<br /><br />
<br /><br />
Mpatanishi umeona eeehh. Biashara gani ya kuja kutext kama ni mbuzi au jiwe ukiwa tayari mzigo uko nyumbani. Ndo hayo ya kukutana na tatoo ya her first lover kwenye mwili wake. Mambo gani hayo bana
<br />hata home ukipeleka binti lazima wazee wakuulize je mmejuana vizuri? We unadhani wana maanisha nini hapo?! Wazee wanaona mbali bana so hapa lazima mzigo upimwe tena na kufunguliwa waz kabisa.<br />
Lazima niuchambue kabla cjaubeba jumla.
Mhhhhhhhhh
wanawake tusikubali na hii mifumo dume mpaka kny relationship.......
nguo zake afue mwenyewe,kupika tutapika wote alternative days........kuweni real jamani mapenzi gani hayo yanayomfanya mwanamke awe mtumwa wa kumpikia na kumfulia mwanaume under wajibu disguise........???eti utasikia mapenzi mapenzi gani hayo ya upande mmoja??kwa nini isiwe kufuliana..kupikiana bali iwe kumpikia mume,kumfulia mume etc?
sio kwamba wamama wana matatizo sema la life cycle inachangia mama kushindwa kumudu majukumu ya nyumbani mfano mama unatakiwa kazini saa moja na nusu na upo dar inamaana unatakiwa uondoke home saa kumi na moja na kurudi umewai sana saa 2 sasa hapo majukumu yanaenda kwa housgirl ndo maana mimi sidhani kama mwanaume ananioa ili nimfanyie kazi za nyumbani na siwezi kuishi na mwanaume eti nimsaidie kazi za home atafute mtumishi.mimi nikiishi nae ni mambo mengine maana automatically kama lengo lake ni kumfanyia kazi za nyumbani,naeza kushindwa kuzifanya sio kwamba sipendi ila ni kutokana na situation tu ya maisha
ngoja niende kozi ya mapishi beki 3 asije akanipiga gap mama mwenye nyumbaNdio maana tunaweka wasaidizi yaani beki tatu ili kuziba mapengo. Lakini hili haliondoi umuhimu wa mama kuwa mahili kwenye kupika na kufua kwani kama hujui mambo hayo utam "supervise" vipi beki tatu? Uzuri mambo ya upishi huwa hayaongopi. Utamjua tu mpishi mbabaishaji mara anapoweka chakula mezani.