Kuhujumiwa kwa Derby ya Simba na Yanga ni suala la kitaifa na sio jambo dogo!

Kuhujumiwa kwa Derby ya Simba na Yanga ni suala la kitaifa na sio jambo dogo!

Jackbauer

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
6,053
Reaction score
2,207
Tanzania ipo katika mchakato wa kuandaa mashindano makubwa ya AFCON Mwezi Julai 2027 kwa kushirikiana na Kenya na Uganda.

Tukio hili ni la kipekee na limetumia rasilimali nyingi hadi sasa na pia ni tukio la kimanufaa linalotamaniwa na kila nchi Africa.

Hadi sasa kwa muelekeo wa kimazingira Tanzania ipo mbele katika hatua za maandalizi yaani ukiangazia uwepo wa viwanja,mashabiki na huduma zinazokidhi kuandaa mashindano haya makubwa.

Soma Pia: Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Katika miaka mitatu ya hivi karibuni Tanzania imeonesha uwezo kupitia timu zake,ligi yake na ushindani wa kimataifa katika soka barani Afrika kulinganisha na miaka zaidi ya 40 iliyopita.

Zaidi Tanzania imekuza diplomasia katika soka kwa kiasi kikubwa.
Naamini jambo hili haliwezi kuwapendeza mataifa mengine yasiyoitakia mema nchi yetu.

Kwa muktadha huu lazima kila tukio liache maswali na maswala ya kufanyia kazi kwani soka ni uchumi,diplomasia au vita baridi.

Tukio haribifu dhidi ya dabi kubwa Afrika kwa sasa yaani kati ya Simba na Yanga ni tukio linalohitaji uchunguzi wa kina sana...

Ni vyema uchunguzi huo ukafanyika kwa kina na matokeo yakafanyiwa kazi haraka.


Kwa upendo wa nchi
 
Tanzania ipo katika mchakato wa kuandaa mashindano makubwa ya AFCON Mwezi Julai 2027 kwa kushirikiana na Kenya na Uganda.

Tukio hili ni la kipekee na limetumia rasilimali nyingi hadi sasa na pia ni tukio la kimanufaa linalotamaniwa na kila nchi Africa.

Hadi sasa kwa muelekeo wa kimazingira Tanzania ipo mbele katika hatua za maandalizi yaani ukiangazia uwepo wa viwanja,mashabiki na huduma zinazokidhi kuandaa mashindano haya makubwa.

Soma Pia: Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Katika miaka mitatu ya hivi karibuni Tanzania imeonesha uwezo kupitia timu zake,ligi yake na ushindani wa kimataifa katika soka barani Afrika kulinganisha na miaka zaidi ya 40 iliyopita.

Zaidi Tanzania imekuza diplomasia katika soka kwa kiasi kikubwa.
Naamini jambo hili haliwezi kuwapendeza mataifa mengine yasiyoitakia mema nchi yetu.

Kwa muktadha huu lazima kila tukio liache maswali na maswala ya kufanyia kazi kwani soka ni uchumi,diplomasia au vita baridi.

Tukio haribifu dhidi ya dabi kubwa Afrika kwa sasa yaani kati ya Simba na Yanga ni tukio linalohitaji uchunguzi wa kina sana...

Ni vyema uchunguzi huo ukafanyika kwa kina na matokeo yakafanyiwa kazi haraka.


Kwa upendo wa nchi
Mama anaupiga mwingi
 
Bodi ya Ligi inajiamulia tu kuahirisha mchezo na kukata point vitimu vingine kama JKT Queens na Biashara utd, hakuna kanuni inaruhusu mchezo kuahirishwa kiholela namna hiyo, sanasana kanuni inaruhusu mchezo kuendelea kisha adhabu hufuata baada ya mchezo, vinginevyo JKT Queens na Biashara utd wanapaswa kuridishiwa alama zao na michezo yao ipangiwe tarehe nyingine
 
Bodi ya Ligi inajiamulia tu kuahirisha mchezo na kukata point vitimu vingine kama JKT Queens na Biashara utd, hakuna kanuni inaruhusu mchezo kuahirishwa kiholela namna hiyo, sanasana kanuni inaruhusu mchezo kuendelea kisha adhabu hufuata baada ya mchezo, vinginevyo JKT Queens na Biashara utd wanapaswa kuridishiwa alama zao na michezo yao ipangiwe tarehe nyingine
Baada ya kuona hata kule kwa mademu hamna chenu, mnaandaliwa mashindano ya mchongo na ghafla JKT Queens imepata watetezi.
 
Wakubwa wanajuana, hii kitu itakuwa imehujumiwa na pande zote mbili kiujanja sana kwa kushirikiana na TFF
 
Tanzania ipo katika mchakato wa kuandaa mashindano makubwa ya AFCON Mwezi Julai 2027 kwa kushirikiana na Kenya na Uganda.

Tukio hili ni la kipekee na limetumia rasilimali nyingi hadi sasa na pia ni tukio la kimanufaa linalotamaniwa na kila nchi Africa.

Hadi sasa kwa muelekeo wa kimazingira Tanzania ipo mbele katika hatua za maandalizi yaani ukiangazia uwepo wa viwanja,mashabiki na huduma zinazokidhi kuandaa mashindano haya makubwa.

Soma Pia: Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Katika miaka mitatu ya hivi karibuni Tanzania imeonesha uwezo kupitia timu zake,ligi yake na ushindani wa kimataifa katika soka barani Afrika kulinganisha na miaka zaidi ya 40 iliyopita.

Zaidi Tanzania imekuza diplomasia katika soka kwa kiasi kikubwa.
Naamini jambo hili haliwezi kuwapendeza mataifa mengine yasiyoitakia mema nchi yetu.

Kwa muktadha huu lazima kila tukio liache maswali na maswala ya kufanyia kazi kwani soka ni uchumi,diplomasia au vita baridi.

Tukio haribifu dhidi ya dabi kubwa Afrika kwa sasa yaani kati ya Simba na Yanga ni tukio linalohitaji uchunguzi wa kina sana...

Ni vyema uchunguzi huo ukafanyika kwa kina na matokeo yakafanyiwa kazi haraka.


Kwa upendo wa nchi
Badala ya kuzungumzia Katiba na chaguzi zetu mnaleta "upumbavu" wa Yanga-Simba, Yanga -Simba
 
Hapa ndipo tunapopima uwezo wa akili kwa watanzania, ukiwaambia waandamane sababu ya mechi kuhairishwa wapo tayari. Lakini kwenye mambo ya msingi yanayowagusa moja kwa moja hutowaona.
 
Uchawi Mzee ndo uliosababisha mechi isichezwe. Mmoja kasharoga vizuri hataki kumruhusu mwenzake akaroge... Ni upuuzi wa Hali ya juu, hili si suala la Leo. Ni matokeo ya ubovu wa akili zetu wenyewe kwenye Kila nyanja.
 
Back
Top Bottom