Kuhusiana na misaada, Wazungu walianza kushtuka pale wafanyakazi wa UNRWA walipohusika kusaidia ugaidi wa Hamas

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715

Ndio, hakuna kinachosaidika kwenda gaza directly, vitu vingi vinapita kwanza kwa hamas alafu wanapewa wananchi wachache kwa ajili ya ushuhuda wa bongomuvi.

Wanashirikiana katika kuua ideology ya kihayaudi na magharibi, wakati matajiri ndio hao hao mna wafanyia ukatili. Kuleni maweee!!!

 

Misaada? Kwani dawa za ukimwi bado mwaletewa? Au nanyi kwenu ugaidi unawahusu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…