Kuna hili jambo ambalo lina utata kama wamarekani walituma chombo cha anga na kupeleka binadamu mwezini mara ya kwanza mwaka 1969.
Nilikuwa napitia machapisho mtandaoni na kukutana na hili kanusho (debunking) nikaona niliweke hapa ili wenye interest na haya mambo tuliangalie.
www.history.com
Nilikuwa napitia machapisho mtandaoni na kukutana na hili kanusho (debunking) nikaona niliweke hapa ili wenye interest na haya mambo tuliangalie.
The Wildest Apollo 11 Moon Landing Conspiracy Theories, Debunked | HISTORY
Claims the Apollo 11 mission was staged began soon after astronauts first set foot on the moon in 1969.