mtanzania10
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 271
- 81
Ndugu wana jamvi hii benki tajwa hapo juu imekuwa na matawi mengi nchi nzima. lakini katika wilaya nyingi wamekuja na kitu kinachoitwa easy loan yaani mkopo rahisi. Walikuwa wakitembelea sehemu mbali za Tanzania.
Mimi ni muhanga wa hii benki niliingia nao mkataba wa mkopo wa milioni 1 zimeshapita wiki tatu hadi leo hizo pesa sijazipata. Mimi nipo wilaya ya Kasulu mkoa wa Kigoma.
Kama kuna wahanga wenzangu kama mimi ndani ya wilaya ya Kasulu na Buhigwe kwa uzi huu tupeane contact ili tuwe kitu kimoja tufike pale kwenye osifi zao za Kasulu watufafanulie na ikiwezekana hata kuvunja mikataba na benki hiyo tuvunje.
Mimi ni muhanga wa hii benki niliingia nao mkataba wa mkopo wa milioni 1 zimeshapita wiki tatu hadi leo hizo pesa sijazipata. Mimi nipo wilaya ya Kasulu mkoa wa Kigoma.
Kama kuna wahanga wenzangu kama mimi ndani ya wilaya ya Kasulu na Buhigwe kwa uzi huu tupeane contact ili tuwe kitu kimoja tufike pale kwenye osifi zao za Kasulu watufafanulie na ikiwezekana hata kuvunja mikataba na benki hiyo tuvunje.