Kuhusu Afya yangu Deogratius Kisandu

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,380
KUHUSU AFYA YANGU Deogratius Kisandu.

1. Mimi sina UKIMWI hata chembe, na wala sijawahi kuwa na VVU, utajibeba wewe usiye jali afya yako. Utakufa na UKIMWI mwenyewe, utashangaa Deo anadunda tu.

2. Akili yangu iko safi kabisa haina chembe ya kuathirika kisaikolojia, ni mbwembwe tu za maadui.

3. Magonjwa ya zinaa sina Niko poa kabisa, utakoma wewe usiye jali afya yako.

4. Damu yangu ni Salama, Moyo wangu uko salama, Ini langu liko salama, Masikio na Macho yangu yako salama kabisa, sina matege, sina chongo, ulimi wangu uko safi, Manpower zimejaa tele, utajibeba wewe usiye jali afya yako.

5. Nina miaka takribani 2 sijakanyaga hospitali maana afya yangu iko FIT kila idara, utajibeba wewe kila siku hospitali.

6. Hunikatishi tamaa kwa kauli za kijinga na upotoshaji, nenda kapime afya yako.

7. Usikubali kurudiana na Mpenzi wako wa zamani maana huenda kaukwaa huko halafu akakusogezea wewe. Kuwa mjanja kama mteja wa maparachichi. Mapenzi sio sheria mpaka ule matapishi.

Deogratius Nalimi Kisandu.
 
Mkuu ulituahidi albamu moja tu mseto sisi mashabiki wa nyimbo zako naona kimya na umejikita kwenye siasa Masqo.
 

Masikio na Macho yangu yapo salama kabisa, sina matege, sina chongo, ulimi wangu upo safi

Deo napenda kukushauri na kukukumbusha kuwa:-

Uzima wa Mwili na Akili unatokana na NEEMA ya Mungu tu.

Haimaanishi Wenye matege, chongo, wenye shida za masikio na macho walikuwa na dhambi au wana dhambi

Usirudie kusema kuwa watajibeba

Wewe hukutoa rushwa kwa Mungu mpaka uwe hivyo [\COLOR]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…