PROSPER 05
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 226
- 217
Kuna taarifa imekuwa ikipita ktk Mitandao hasa Whtsapp ikimnukuu Dr LIAKEY. akiwashutumu AZAMTV kuihujumu YANGA na kuibeba Simba. Je ina ukweli wowote.
SOMA MADAI YAKE HAPA CHINI
" Mchambuzi wa soka mwenye uzoefu mkubwa nchini DR.LIAKEY ABDALAH amemponda mrusha matangazo wa azam TV kwamba anakuza matukio na kuchelewesha camera kitu ambacho kinachonganisha marefarii na washka vbendera kwa bodi ya ligi. Amesema ameangalia mabao ya Simba na ya Yanga amegundua kila mchezaji wa Yanga anapofunga goal Mpiga picha wa Azam ana scroll camera aoneshe kaotea. Kasema maelezo hayo ameyatoa kwa mpiga picha ambaye ni rafiki yake anaerusha ligi kuu ya uingereza kuptia TV1. Amedai kuna kitu kinachofanywa na Azam Tv kuupotosha umma."
NI KWELI KUNA HUJUMA?
SOMA MADAI YAKE HAPA CHINI
" Mchambuzi wa soka mwenye uzoefu mkubwa nchini DR.LIAKEY ABDALAH amemponda mrusha matangazo wa azam TV kwamba anakuza matukio na kuchelewesha camera kitu ambacho kinachonganisha marefarii na washka vbendera kwa bodi ya ligi. Amesema ameangalia mabao ya Simba na ya Yanga amegundua kila mchezaji wa Yanga anapofunga goal Mpiga picha wa Azam ana scroll camera aoneshe kaotea. Kasema maelezo hayo ameyatoa kwa mpiga picha ambaye ni rafiki yake anaerusha ligi kuu ya uingereza kuptia TV1. Amedai kuna kitu kinachofanywa na Azam Tv kuupotosha umma."
NI KWELI KUNA HUJUMA?