Kuhusu Biashara ya bia za jumla

Prochnost

Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
42
Reaction score
9
Habari ndugu zangu, nafikiria kufanya Biashara ya Bia za jumla (Godown) naomba yeyote anaefahamu kuhusu hii biashara anijuze tafadhali.
 
Mie cijaelewa hapo unachouliza , je unataka kujua kuhusu mtaji unaohitajika au Faida ya hiyo biashara? Kiukweli kama eneo ulilopo linauhiyaji wa hiyo k2 inalipa.
 
Nenda ofisi ya TBL ...ila ujiandae na mtaji wa kutosha haswa!
 
Mie cijaelewa hapo unachouliza , je unataka kujua kuhusu mtaji unaohitajika au Faida ya hiyo biashara? Kiukweli kama eneo ulilopo linauhiyaji wa hiyo k2 inalipa.
Haja yangu ni kujua faida, hasara, changamoto na mahitaji kwa ujumla
 
Hiyo biashara inalipa, changamoto yake kubwa ni ni kuwa majambazi wa silaha za moto wanakuja kuvuna hapo kila wakitaka, maana ina mzunguko mkubwa wa cash!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…