Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,186
- 7,492
Wakuu naomba mwenye taarifa sahihi juu ya mambo kadha tusaidiane hapa.Naomba anaejua yafuatayo atusaidie.
1.Wilaya inayoongoza kwa kulima Nyanya na bei ya nyanya kwa tenga kwenye eneo la uzalishaji.
2.Wilaya inayoongoza kwa uzalishaji wa zao la Vitunguu na bei ya vitunguu kwa gunia kwenye eneo la uzalishaji.
3.Wilaya inayoongoza kwa uzalishaji wa karoti na bei ya karoti kwa gunia kwenye eneo la uzalishaji.
4.Wilaya inayoongoza kwa uzalishaji wa viazi mviringo na bei yake katika eneo la uzalishaji.
5. wilaya inayoongoza kwa uzalishaji wa tangawizi na bei yake kwa gunia kwenye eneo la uzalishaji.
Nitashukuru sana kama mdau yeyote mwenye taarifa sahihi atatupia humu.
1.Wilaya inayoongoza kwa kulima Nyanya na bei ya nyanya kwa tenga kwenye eneo la uzalishaji.
2.Wilaya inayoongoza kwa uzalishaji wa zao la Vitunguu na bei ya vitunguu kwa gunia kwenye eneo la uzalishaji.
3.Wilaya inayoongoza kwa uzalishaji wa karoti na bei ya karoti kwa gunia kwenye eneo la uzalishaji.
4.Wilaya inayoongoza kwa uzalishaji wa viazi mviringo na bei yake katika eneo la uzalishaji.
5. wilaya inayoongoza kwa uzalishaji wa tangawizi na bei yake kwa gunia kwenye eneo la uzalishaji.
Nitashukuru sana kama mdau yeyote mwenye taarifa sahihi atatupia humu.