Kuhusu Bima

Kuhusu Bima

Balungi

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
234
Reaction score
162
Nilipata ajali na gari ikakaguliwa na vehicle inspector na akaandika report baada ya kuipeleka gereji, malipo yameandaliwa na mwenye gereji akakubali kutengeneza kutokana na malipo yaliyokubaliwa lkn wakati kazi inaendelea ikagundulika kuwa kuna tatizo "engine mounting" nayo imekatika na gari inatakiwa kupakwa rangi upya, nafanyaje?
i. Ninaweza kuwaandikia ili niongezewe kiasi kinachoongezeka?
i. Inatakiwa nitengeneze kwa gharama zangu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipata ajali na gari ikakaguliwa na vehicle inspector na akaandika report baada ya kuipeleka gereji, malipo yameandaliwa na mwenye gereji akakubali kutengeneza kutokana na malipo yaliyokubaliwa lkn wakati kazi inaendelea ikagundulika kuwa kuna tatizo "engine mounting" nayo imekatika na gari inatakiwa kupakwa rangi upya, nafanyaje?
i. Ninaweza kuwaandikia ili niongezewe kiasi kinachoongezeka?
i. Inatakiwa nitengeneze kwa gharama zangu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hapo jibu rahisi ni wewe utaingia gharama ya kupaka rangi na kuweka engine mounting mpya..

Kwa nini....??
Kwa mujibu wa maelezo yako bima walishakubali kumlipa fundi gharama za awali......hizo gharama mpya utakazowapelekea bima sasa hivi hawatakuelewa lazima utakutana na maswali kwa mfano...kwa nini hukuanisha gharama za rangi na engine mounts mapema??
Wataona kama vile unafanya janjajanja..

Hapo kosa lipo upande wako ulishakosea tangu mwanzo kufanya estimation ya gharama za matengenezo kwenye sehemu zote zilizoharibika wakati wa ajali.

Ushauri wa bure jichange tu ugaramie hiyo rangi na engine mounts...bima hapo watakuzungusha upoteze muda wako na mwisho wa siku utakuja kufanya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweny bima kuna kitu kinaitwa Principle of utmost good faith

Yani ww unatakiwa useme ukwel wa kila kitu kuhusu gari lako...sasa hapo kweny gharama,una expose gharama mpya tofaut na mwanzo utaonekana una breach hyo principle..yan watahis unaleta janja janja..so jichange tu umalze hilo tatizo lako



Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Kweny bima kuna kitu kinaitwa Principle of utmost good faith

Yani ww unatakiwa useme ukwel wa kila kitu kuhusu gari lako...sasa hapo kweny gharama,una expose gharama mpya tofaut na mwanzo utaonekana una breach hyo principle..yan watahis unaleta janja janja..so jichange tu umalze hilo tatizo lako



Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Ni kweli kuna ishu ta Utmost good faith lakini pia kwenye bima wana-assume kwamba mteja yeyote anachukuliwa hajui masuala ya bima hivyo ni muhimu kuelekezwa.

Pili hajavunja Principle ya utmost good faith kwa sababu si yeye aliyeandaa repair estimate na pia yeye si mtaalam wa magari, pale ambapo bima na repairer walikubaliana kutengeneza mteja jukumu lake ni kuhakikisha analikuta gari lipo katika hali iliyokuwapo kabla ya ajali.

Suluhisho ni kwa mteja kumwambia repairer awaandikie bima juu ya tatizo lililoongezeka na gharama zake. Maadam tatizo hilo limetokana na ajali iliyotokea. Halafu garage huwa wanapewa pia miscellenaous additional cost nayo bima wataangalia ili kupunguza gharama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kuna ishu ta Utmost good faith lakini pia kwenye bima wana-assume kwamba mteja yeyote anachukuliwa hajui masuala ya bima hivyo ni muhimu kuelekezwa.

Pili hajavunja Principle ya utmost good faith kwa sababu si yeye aliyeandaa repair estimate na pia yeye si mtaalam wa magari, pale ambapo bima na repairer walikubaliana kutengeneza mteja jukumu lake ni kuhakikisha analikuta gari lipo katika hali iliyokuwapo kabla ya ajali.

Suluhisho ni kwa mteja kumwambia repairer awaandikie bima juu ya tatizo lililoongezeka na gharama zake. Maadam tatizo hilo limetokana na ajali iliyotokea. Halafu garage huwa wanapewa pia miscellenaous additional cost nayo bima wataangalia ili kupunguza gharama!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure..nilivyosema amevunja sikumaanisha direct ni yeye ..

Ajarbu hiyo suggestion yako..ila hawa jamaa hawakawii kusema kala njama na fundi

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Sure..nilivyosema amevunja sikumaanisha direct ni yeye ..

Ajarbu hiyo suggestion yako..ila hawa jamaa hawakawii kusema kala njama na fundi

Sent from my SM-G920P using Tapatalk

Hadi swala la kupaka rangi halikuonekana mapema?

Engine mounting inaweza kuwa technical, ila swala la rangi sijaelewa kwa nini halikuonekana mapema.
 
Hadi swala la kupaka rangi halikuonekana mapema?

Engine mounting inaweza kuwa technical, ila swala la rangi sijaelewa kwa nini halikuonekana mapema.
Yes, hayo mazingira yanakuwa so suspicious. Maana rangi ilitakiwa kuonekana mapema.
 
Back
Top Bottom