Kuhusu blood transfusion

PAUL M LUCAS

Member
Joined
Sep 2, 2014
Posts
12
Reaction score
0
Je! Inawezeka kwa mtu group A aliyepoteza nusu ya damu yake kuongezewa nusu ya damu kutoka kwa mtu group O?
 
yap inawezekana kwan grouo o ni unversal donor ana gawia kla group la dawa..ila a reseive blood trnsftion kwa group lolote kasoro o pekee..hii ni kwajl ya antbody na antigen reaction(serology)
 
Wasi wasi wangu ni kama mtu akipoteza nusu ya damu anaweza kusurvive hadi afanyiwe transfusion.
 
huyo mtu kama bado hajafa basi inawezekana but kinyume chake haiwezekani.
 
Ndiyo ila angalizo:
Hiyo blood group kama ni whole blood iwe imepimwa high titre antibodies (anti A & anti B) vinginevyo inaweza kusababisha serious transfusion reactions ikiwa itakuwa na high titre anti A katika plasma.

Kama ni packed red cells bas si lazima ziwe zimepimwa high titre antibodies kwa kuwa kias kikubwa cha plasma kimetolewa. Hii blood group O packed red cells ndio twaweza kuita 'universal donor'
 
watu wenye blood group A na B wana vitu vinaitwa "free antigenic substance" ktk plasma ambayo hufanya kazi ya kuneutralize izo antibodies zisilete reactions PAUL M LUCAS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…