Tetesi: KUHUSU BOKSA

Status
Not open for further replies.

kamdudu

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2015
Posts
2,007
Reaction score
1,931
Habari zenu humu ndani .

Mimi kuna maneno nimeyasikia sana mitaani kuhusu hizi boksa tunazovaa wanaume watu wakidai eti ukizivaa kwa muda mrefu zinapunguza nguvu za kiume !

Mwenye ukweli kuhusu hilo tafadhali !
 
Ulikuwa hulijui hilo? Huo mshedede yafaa uwe huru sio kuubanabana ndugu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…