kamdudu JF-Expert Member Joined Jan 20, 2015 Posts 2,007 Reaction score 1,931 Dec 21, 2017 #1 Habari zenu humu ndani . Mimi kuna maneno nimeyasikia sana mitaani kuhusu hizi boksa tunazovaa wanaume watu wakidai eti ukizivaa kwa muda mrefu zinapunguza nguvu za kiume ! Mwenye ukweli kuhusu hilo tafadhali !
Habari zenu humu ndani . Mimi kuna maneno nimeyasikia sana mitaani kuhusu hizi boksa tunazovaa wanaume watu wakidai eti ukizivaa kwa muda mrefu zinapunguza nguvu za kiume ! Mwenye ukweli kuhusu hilo tafadhali !
mbalizi1 JF-Expert Member Joined Dec 16, 2015 Posts 21,057 Reaction score 41,992 Dec 21, 2017 #2 Ulikuwa hulijui hilo? Huo mshedede yafaa uwe huru sio kuubanabana ndugu
Antony Abel JF-Expert Member Joined Dec 18, 2017 Posts 264 Reaction score 142 Dec 21, 2017 #3 mbalizi1 said: Ulikuwa hulijui hilo? Huo mshedede yafaa uwe huru sio kuubanabana ndugu Click to expand... Ikiwa ni mfupi pia kunatatizo
mbalizi1 said: Ulikuwa hulijui hilo? Huo mshedede yafaa uwe huru sio kuubanabana ndugu Click to expand... Ikiwa ni mfupi pia kunatatizo
mchakavumlasana JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 389 Reaction score 212 Dec 21, 2017 #4 Za kuambiwa.....
Muzine JF-Expert Member Joined May 4, 2017 Posts 32,366 Reaction score 60,453 Dec 21, 2017 #5 Ukiona hupigi kazi vizur jibu unalo
mbalizi1 JF-Expert Member Joined Dec 16, 2015 Posts 21,057 Reaction score 41,992 Dec 21, 2017 #6 Antony Abel said: Ikiwa ni mfupi pia kunatatizo Click to expand... [emoji3] [emoji3] [emoji3]
P pakanga JF-Expert Member Joined Dec 16, 2017 Posts 257 Reaction score 240 Dec 21, 2017 #7 Kapime sukari ww make inaanza na mashine