Kuhusu Bomu Arusha, wanasheria naoma mchanganuo hapa

Kuhusu Bomu Arusha, wanasheria naoma mchanganuo hapa

Nkobe

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
2,204
Reaction score
3,277
Hivi ina maana gani kusema kuwa Victor Ambrose anafikishwa mahakamani kwa shitaka la kurusha bomu Kanisani Olasite na kuua watu watatu, lakini wakati huo huo unaendelea kusema kuna donge la milioni 50 kwa yeyote atakae mfichua mrusha bomu. Kama Victor alihusika kwanini asimtaje jina mshirika mwenzake. Hii taarifa niliiona jana kwenye TV pale RPC alipotangaza.

Wanasheria naomba mchanganuo wenu tafadhari
 
poor inteligency + education = poor anouncement. Siku zote uwezi kufanya uchunguzi huku unatoa taarifa za uchunguzi badala ya kumaliza uchunguzi ndipo sasa uje na CONCLIT report, hii ni sawa na kula/kutafuna huku unaongea.
 
Mr Nkobe,

I know TISS are scrutinizing this forum nowdays but I have to call it as I see it. What is going on in Arusha is pre-meditated and worse of all unjust. It is imperative to understand that the defendant, Victor Ambrose, is a boda -boda driver and up to this moment police have failed to provide sustantial evidence that ties him with that henoius crime. The only reason this guy will serve the rest of his life in jail is his NAME. However, TISS and Police are making a huge mistake cause they are looking for ways to mask the problem instead of solving it.
 
bw.rufiji mleta mada anaomba kujua,na hasa ameomba wanasheria wamjuze,huyu ni sawa na client(mteja)wako,unapompolomoshealugha ngumu na yenye maneno ya kisheria unampoteza na ujumbe wako hawezi kuupata,,,tunatatizo ktk utambuzi na kuzuia uhalifu,kuchunguza,kukamata na kushitaki watuhumiwa,na ndio maana kesi nyingi kubwa tunapoteza,kingine ni uadilifu umepotea,mf.waendesha mashtaka kuharibu ushahidi,,,kama hapa mbeya mtu alikamatwa na kg.zaidi ya 200 za madawa ya kulevya,police station ikafika kg.1 na kwa mkemia mkuu ikafika chumvi na sukari.kumbuka kesi ya zombe na wenzake,roho za wanamahenge wale zimepotea hivi hivi,,,pia tunaendeshwa kwa kuficha ficha mambo sana,,,hasa serikali inapoonekana imezembea sehemu,na mwisho wa yote ktk mfumo wa makosa ya jinai(administration of criminal justice)kama uchunguzi/upelelezi,ukamataji,na uendeshaji wa shtaka utakua hovyo basi utegemee Hukumu(judgment)hovyo(yaani serikali kushindwa case)na hilo la Arusha kwa maoni yangu naona kama picha la kiindi linaendelea,na mwisho wa yote dogo anashinda,yule wa Zanzibar anashinda n.k.hawana umakini,umeona walivochemka case ya zombe lwakatare n.k.
 
Back
Top Bottom