CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Wakuu jana nilitembelea Maonyesho ya Africa Mashariki, ambayo hayakuwa na Mvuto wa aina yoyote, na sana sana yalikuwepo mabanda ya serikali,
Nilitembelea Banda la Brela na wakaniambia kwa sasa TCCIA za mikoa zinasaidia regstration kwa niaba ya Mtu, yaani unaandaa dokoment unapeleka TCCIA then wao wanazituma Dar kwa ajili ya kusajili kampuni, so kama kuna aliye wahi kutumia hii njia awajuze wana member
Nilitembelea Banda la Brela na wakaniambia kwa sasa TCCIA za mikoa zinasaidia regstration kwa niaba ya Mtu, yaani unaandaa dokoment unapeleka TCCIA then wao wanazituma Dar kwa ajili ya kusajili kampuni, so kama kuna aliye wahi kutumia hii njia awajuze wana member