Kuhusu Brela na TCCIA

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Wakuu jana nilitembelea Maonyesho ya Africa Mashariki, ambayo hayakuwa na Mvuto wa aina yoyote, na sana sana yalikuwepo mabanda ya serikali,

Nilitembelea Banda la Brela na wakaniambia kwa sasa TCCIA za mikoa zinasaidia regstration kwa niaba ya Mtu, yaani unaandaa dokoment unapeleka TCCIA then wao wanazituma Dar kwa ajili ya kusajili kampuni, so kama kuna aliye wahi kutumia hii njia awajuze wana member
 

BRELA huwa wanasema hivyo lakini hakuna mpangilio unaofanyika,na hawapo wazi katika kulitekeleza hilo.
TCCIA ikiwa dar inaonekana ipo active,lakini mikoani hadi wilayani wananchi hawana habari,ndi maana watu wengi huja wenyewe hapa dar kufanya usajili.!!!!
 

Nafikiri una data za zamani sana mkuu, kwasasa TCCIA ina watendaji makini kuanzia Mkurugenzi wao mpaka watendaji wa mikoani. Mimi ni mmojawapo ninayepata huduma yangu hapo nanimejaribu kufatilia nyendo zao nimewakubali. Kwa hiyo huduma ya Brela kufanyika TCCIA watafanikiwa sana nahisi maana vishoka wataumbuka hakuna cha mention town tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…