Kuhusu Central admission system

Kuhusu Central admission system

Mkudisingo

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2014
Posts
421
Reaction score
122
Jaman nimeona mfumo umeruhusu tena mchakato wa udahili na wamesema ili kutoa nafas kwa wahitimu wa form six na watu liochelewa pia kuwapa nafasi wale walio omba nakukubaliwa na wameonesha nia ya kubadili baadhi ya vyuo walivyo pangiwa na kuomba kubadilishwa iwapo chuo tu anachotaka kwenda kitakuwa na nafasi sasa kesi yangu mm hapo nlitaka kujua huo utaratibu wa kufanya hayo mabadiliko upoje? na je nikiomba tena nakufanya usahili upya si namba ya mtihan inatumika once na haitakiwi kujirudia?
 
Duh kweli siku hizi elimu yetu ni janga la taifa. Imagine mtunanashindwa hata kujieleza tu,alafu ndio anaingia chuo hivyo
 
Hivi ww mbona huwezi kujielezea lakini kwa visichana unaweza pamoja na kunyoa viduku?
 
wadau nimekwama kukamilisha registration kwa njia ya CAS kila nikiingiza corfimation code ya Mpesa naambiwa error code entered msaada wenu wadau unaitajika
 
wadau nimekwama kukamilisha registration kwa njia ya CAS kila nikiingiza corfimation code ya Mpesa naambiwa error code entered msaada wenu wadau unaitajika
Hata mimi napata tatizo hilo hilo naomba msaada tafadhali nilikuwa namwombea jamaa yangu nafasi za Diploma ya ualimu. Je msaada unapatikana wapi hasa?
 
Back
Top Bottom