Wadau naomba kufahamu kama utafunaji wa jojo, wenyewe siku hizi mnaita chewgum au big g kuna madhara gani kiafya, kwani mimi mda ambao mdomoni haipo ni wakati nakula chakula tu.! Help please.
Wadau naomba kufahamu kama utafunaji wa jojo, wenyewe siku hizi mnaita chewgum au big g kuna madhara gani kiafya, kwani mimi mda ambao mdomoni haipo ni wakati nakula chakula tu.! Help please.
Copy and Paste! Inabidi tuchukue ushauri wa mwana JF mwenzetu mmoja aliyeshauri kuwa inabidi tumuulize Sir Alex Furgeson kuhusu hili jambo la kutafuna chewing gum!! Lol!