Mwenyewe kaianika kwa mbwembwe. Vibanio viwili isije ikapeperuka chupi yake ya thamani
mmmh nimecheka sana kweli kuna umuhimu na pengine hakuna umuhimu ndo maana wenzetu weupe wametengeneza bikini inaziba matundu tu na msitu hawataki shida hewa inajipitia akaa
Kwanza kwa male wearin pants produce much hazards , hapo nimetaja some tu , nyingine chupi inaubana mnara ama mshumaa (ita vyovyote upendavyo)
kuufanya usinyooke straght!
Sometimes unakua kama umbo la ndizi au elbow!
Kwanza kwa male wearin pants produce much hazards , hapo nimetaja some tu , nyingine chupi inaubana mnara ama mshumaa (ita vyovyote upendavyo)
kuufanya usinyooke straght!
Sometimes unakua kama umbo la ndizi au elbow!
halafu wewe Judgement uwe unavaa chupi, hiyo hasara moja isizuie faida Kumi, sawa?
Shem , mi hiyo makitu huniboa , mi hupiga mibukta mibwangabwanga isiyokibana kifaa! Hasara ni nyingi kuliko faida.
Hata ile uganduajiz mnatoz ni disturbus unnecessarly! hata hiyo utabisha?
.....afu weweMchango upi sasa Shemeji ?
Michango iko aina nyingi.
Kuna mchango wa maumivu ya tumbo, michango ya mikwanja , michango ya ........
Nianze na utangulizi.
Sredi hii naileta kwenu , ikiwa ni maalum kutoa Challenge kwa Muheshimiwa mshana jr , dhidi ya Uzi wake aliyouleta hapa unaosoma kwa headin "Kuvaa chupi ya mpenzi wako si limbwata bali ni mapenzi"
Aidha ni challenge kwa wale waliochangia negatively.
Sina tatizo na wanawake kuvaa pant , because wao mambo yao ni mengi !
Husussan (their trip/journey to NASA kunako ma-airspace)
Lakini kwa wanaume chupi ya nini ?
Hivi kazi ya chupi ni nini ?.
Ukivaa haionekani!
Nani atakaekujua barabarani , ofisini kua hujaivaa?
Usipoivaa haionekani!
Nani atajua hujaivaa?
Na ikiwa umeivaa chupi ikionekana utaambiwa uko uchi.
Ukiamua kuvua nguo ubaki utupu mathalan fukweni ukaogelee , watakwambia hujavaa chupi.
Sasa ya nini tuhangaike na nguo iliyojaa usiri na utata?
While wearin pants affect a man's fertility reproductive system parts!
It resist blood & other glands flow well through to penis.
Hizi testicles zinatakiwa always ziwe karibu-karibu zimeshkanashkana lakini chupi inazi-split zinakaa far from one testicle to another.
Nimalize kwa kusema natoa rai wanaume hamna haja ya kuvaa chupi za wapenzi wenu , wala zenu binafsi.
Hoja imeungwa mkono!
Sioni umuhimu wa kuwahoji.
Kiongozi Jr hoja zako nimeziona japo ziko mashikoless nazipokea kwakua ndy hoja zako na hauna nyingine.
Btw agenda ile iko mezani naichakata! Vuta subira.
Ntarudi baadae kidogo kutoa mchango wangu ju ya swala hili
Nianze na utangulizi.
Sredi hii naileta kwenu , ikiwa ni maalum kutoa Challenge kwa Muheshimiwa mshana jr , dhidi ya Uzi wake aliyouleta hapa unaosoma kwa headin "Kuvaa chupi ya mpenzi wako si limbwata bali ni mapenzi"
Aidha ni challenge kwa wale waliochangia negatively.
Sina tatizo na wanawake kuvaa pant , because wao mambo yao ni mengi !
Husussan (their trip/journey to NASA kunako ma-airspace)
Lakini kwa wanaume chupi ya nini ?
Hivi kazi ya chupi ni nini ?.
Ukivaa haionekani!
Nani atakaekujua barabarani , ofisini kua hujaivaa?
Usipoivaa haionekani!
Nani atajua hujaivaa?
Na ikiwa umeivaa chupi ikionekana utaambiwa uko uchi.
Ukiamua kuvua nguo ubaki utupu mathalan fukweni ukaogelee , watakwambia hujavaa chupi.
Sasa ya nini tuhangaike na nguo iliyojaa usiri na utata?
While wearin pants affect a man's fertility reproductive system parts!
It resist blood & other glands flow well through to penis.
Hizi testicles zinatakiwa always ziwe karibu-karibu zimeshkanashkana lakini chupi inazi-split zinakaa far from one testicle to another.
Nimalize kwa kusema natoa rai wanaume hamna haja ya kuvaa chupi za wapenzi wenu , wala zenu binafsi.
Hoja imeungwa mkono!
Sioni umuhimu wa kuwahoji.
Hahahaaaaa naomba niwe wa kwanza kabisa kuchangia uzi huu...! Hii nikama challenge kwa uzima wangu ulioutaja
Hata hivyo umuhimu wa kutinga hii makitu bado upo, kwakuwa umawasitiri wengi hasa wale walojaliwa libido la kufa mtu, nyege kaa fisimaji, asione paja la mdada ngoma hiyo, kwa hali hiyo ukivaa chupi ya kubana itakustiri na aibu ya kutunisha au kutoboa salawili na hata kuchafua suriali
Lakini kumbuka kuna wale ndugu zangu hawatupi Nguo mpaka iwe kama net, hivyo nao hupata ahueni mno kwa kuvaa chupi imagine jamaa suruali imetoboka makalioni halafu analia ---- jeusi tiiii na kapanda daladala halafu kasimama au ana mkono w sweta na Zipu imekorofisha!!!!! Judgement acha kabisa kaka kuvaa chupi kuna faida zake
Vile vile kuna wale ambazo kupitisha kiwembe huku kwa mgosi ni kasheshe, huachia mambo yakawa kama afro huyu asipovaa chupi na suruali ikamvuka kwa bahati mbaya hahahaaaaa
Anyaway tuachane na hilo vp ishu yetu ile?? Nataka nianze kualika wadau