kuhusu contiuning student wasio na mkopo

kicbo

Member
Joined
Oct 20, 2013
Posts
13
Reaction score
0
Kwa wale continuing student waliomba loan mwenye info imefikia wapi mpka xaxa maana naona kimya hata haileweki. Kwa wale mliokwisa fungua vyuo vp majina yameshatoka au km kawaida ya kibongo? Tuhabarishane jaman
 
Kwa wale continuing student waliomba loan mwenye info imefikia wapi mpka xaxa maana naona kimya hata haileweki. Kwa wale mliokwisa fungua vyuo vp majina yameshatoka au km kawaida ya kibongo? Tuhabarishane jaman

Hi, mm niko UDOM hakuna taarifa mpya, so haijaeleweka.
 
Mbona nmeckia tokeo mwez wa 11? au hamzungumzii walioappeal?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…